Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,905
- 945
đź“Ť Igunga, Tabora
Mabomba kwa ajili ya Upanuzi wa Mradi wa Maji ya Ziwa Victoria kutoka Bomba Kuu kwenda Vijiji na Vitongoji vya Kata za Mwamashiga, Mbutu, Isakamaliwa, Kining'inila, Mwamakona, Igurubi na Kinungu. Mradi wenye thamani ya Shilingi Bilioni Ishirini (Tshs 20,000,000,000/=) yamefika 'site'.
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa anaendelea kutoa shukrani za Wananchi kwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutekeleza ndoto ya kumtua "Mama Ndoo Kichwani" kwa vitendo. Mradi utanufaisha maelfu ya Wakazi wa Jimbo la Igunga na viunga vyake.
Aidha Mheshimiwa Ngassa (MB) anatoa shukrani kwa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Igunga kwa usimamizi wa Mradi.
"KAZI NA MAENDELEO"
Imetolewa na:
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Igunga
13 Mei, 2023
IGUNGA: TUTAFIKA MWAKA 2025 TUKIWA TUMEMTUA MAMA NDOO KICHWANI
Mabomba kwa ajili ya Upanuzi wa Mradi wa Maji ya Ziwa Victoria kutoka Bomba Kuu kwenda Vijiji na Vitongoji vya Kata za Mwamashiga, Mbutu, Isakamaliwa, Kining'inila, Mwamakona, Igurubi na Kinungu. Mradi wenye thamani ya Shilingi Bilioni Ishirini (Tshs 20,000,000,000/=) yamefika 'site'.
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa anaendelea kutoa shukrani za Wananchi kwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutekeleza ndoto ya kumtua "Mama Ndoo Kichwani" kwa vitendo. Mradi utanufaisha maelfu ya Wakazi wa Jimbo la Igunga na viunga vyake.
Aidha Mheshimiwa Ngassa (MB) anatoa shukrani kwa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Igunga kwa usimamizi wa Mradi.
"KAZI NA MAENDELEO"
Imetolewa na:
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Igunga
13 Mei, 2023