Mabloo Twitter kuna madem wakali

Hahahah wapwa bwana ndio niliona billnass anawaambia wasimuite tena mpwa anata kuwowa hawajui yeye ni mchumba wa mtu
Ewaaaaa
Wapwa ni watu wa maisha ya kawaida, wako na followers sijui kuanzia 100k
 
Sisi Ma parody tumekaa pembeni tunawachungulia, no kutweet kuinuana wala nini ila tunainuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…