Babu Lao
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,043
- 179
Jamani kahaba/malaya/mapepe/etc haijalishi yuko wapi. kuna watu wapo ofisini ni hoooovyooooo na wengine wapo makanisani ni hooovyooooooo balaa na viouni ndo usiseme. mke au mume anapatikana popote wanapokutana watu
Lakini sio anaeanza na mzinga asubuhi!!