Mabinti wanadhani mimi ni mchaga

Mabinti wanadhani mimi ni mchaga

are you you on that avatar? come on nigga!

Watu wote wangekua ndo avatar zao ingekua kituko and second nimeichagua kabla yako first come first saved...ila at least you try to be different from one another. Badili na hicho kiinglishi kiko kama cha mulugo.
 
Ebu tuacheni wachaga tutafute helaa,Khaaaah

Kutwaaaa Wachagaaa...
 
Watu wote wangekua ndo avatar zao ingekua kituko and second nimeichagua kabla yako first come first saved...ila at least you try to be different from one another. Badili na hicho kiinglishi kiko kama cha mulugo.

Wanga wamekutana makaburini
 
Ngoja wachaga waje mi napita tu.........ila nahisi vibamia ndo tatizo
 
Jaman tuwaache wachagga wapumue kidogo. Huyu nae ambae ana matatizo lukuki hela hana elimu hana amechakaa iweje wakuhisi ww tu. Na kama ndivo basi wachaga wangekuwa na wawapendao wenye viwango kiasi hicho? Ndg jichunguze una matatizo makubwa kuliko wachaga wote. Wachaga wanatafutwa kwa gharama ni ww tu hujajua bado
 
Back
Top Bottom