Mabinti wanadhani mimi ni mchaga

Mabinti wanadhani mimi ni mchaga

Haa haa wachaga ni madikteta wa mapenz hasa kwa wanaume ndo maana wamekuona wewe utakuwa hvyo
 
Mnatupenda ndio maana katu mada za kutuhusu haziishi, oh wachagga hivi, oh wachagga vile, wachagga bla blah. . .nimekutana na watu wengi wanaomba Mungu wakati anagawa makabila wajikute ni wachagga, so praised for our enterprenurial spirit, family love with strong ties(ushawahi sikia mchagga kakataa mtoto wake au ametupa mtoto?utaskia kwa waswahili tu na 'vyasaka' wengine), high development attitudes, investing in the future,tumesoma, kwetu kuzuri kama ulaya.
In every ten developed native tanzanians of average good wealth 6 must be from the northern circuit, hiyo 4 mnagawana tanzania nzima.
Need I explain any further.
Mtuwache jameni tupumue eeh? Kabila la ki celebrity hili, being a chagga is more than a celeb.
 
Wachagga ukiwasha tu indicator kuashiria kuikimbia foleni njia kuu,sali sala ya toba maana kama hana manati ya mzungu ataazima tu akutangulize!!!
 
wachaga wana tabia ya kuwafanya mabinti wa watu mitaji!
 
Mnatupenda ndio maana katu mada za kutuhusu haziishi, oh wachagga hivi, oh wachagga vile, wachagga bla blah. . .nimekutana na watu wengi wanaomba Mungu wakati anagawa makabila wajikute ni wachagga, so praised for our enterprenurial spirit, family love with strong ties(ushawahi sikia mchagga kakataa mtoto wake au ametupa mtoto?utaskia kwa waswahili tu na 'vyasaka' wengine), high development attitudes, investing in the future,tumesoma, kwetu kuzuri kama ulaya.
In every ten developed native tanzanians of average good wealth 6 must be from the northern circuit, hiyo 4 mnagawana tanzania nzima.
Need I explain any further.
Mtuwache jameni tupumue eeh? Kabila la ki celebrity hili, being a chagga is more than a celeb.

safi sana nimeipenda hiyo
 
mh!mi nawapenda sana sema ulevi,michepuko ndo kinachonitatiza kwa hawa ndugu zetu kinyume na hapo Moshi iko mlangoni.
 
Back
Top Bottom