Mabinti wanadhani mimi ni mchaga

Mabinti wanadhani mimi ni mchaga

mh!mi nawapenda sana sema ulevi,michepuko ndo kinachonitatiza kwa hawa ndugu zetu kinyume na hapo Moshi iko mlangoni.

1655831_521493314627654_1321174227_n.jpg
1521866_666018816769149_1078987164_n.jpg
 
Je unapenda kusikiliza Reggae? Je hupendi kuhonga? Je unavaa Safari boot, moka na savco? Kama jibu ni ndiyo kwa swali lolote ujue ndio sababu. Chagga dudes dont entertain bs, kwa hili nawaheshimu.
 
wengi wao hawaja................... na hawajui mapenzi,wapo busy na kusaka hela tuu
 
We waambie ni mangi wa sumbawanga na huna bastola.

Yule mushi wa ufoo sara na munishi wa pale wamewaharibia sana !

Ila kina mangi ni kiboko ya vicheche na vya mizinga.
 
Back
Top Bottom