Mabinti wanadhani mimi ni mchaga

Mabinti wanadhani mimi ni mchaga

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,830
Reaction score
12,291
Nimekosa wachumba takribani 4 sasa wakidhani mi ni mchaga baada ya kuwatokea.
Naomba kujua wachaga wanamatatizo gani?!
 
Utakuwa unachungulia pesa sana ww ukitaka binti toa pesa c unajua wachaga ni mabahili sana ndo maana wanakuzania hivyo ww
 
Utakuwa unachungulia pesa sana ww ukitaka binti toa pesa c unajua wachaga ni mabahili sana ndo maana wanakuzania hivyo ww

Mkuu kuna mmoja ndo nimemwona tu hatufahamiani, ile kumwomba namba tu akasema ye hapendi kudate na wachaga.
 
Hao washenzi. Yawezekana umetoka arusha na una ile lafudhi basi wote wanaona mchaga maana hawawezi tofautisha wengi. Uchaga mi naona dili maana kuna jamaa angu mchaga na anafatiliwa na madem kibao. Ila kwa upande wa pili wachaga wana kasoro zao ambazo mademu wa kisasa wanaziogopa
Ubahili; huwa wanawaza mbali na kuwekeza mno.
Sex; 65% ya wachaga ni wabovu vitandani.
Michepuko; hawa hua hawapelekeshwi ovyo na wanawake (wengi wao)
Msaada; wachaga wengi huthamini ndugu zao kuliko wa upande mwingine.

All in all hao waliokukataa hawakua na mema kwenye maisha yao. Itakua wapigaji wetu walee. Chakarika kijana ila kua makini na haya mapenzi ya sasa mdogo wangu. Siku njema
 
Taabu kweli.."mademu" wanakukataa, asa ukija kiwataka "wanawake" si utapata shida sana weye!!
 
Back
Top Bottom