Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

Habari za muda huu wapendwa katika bwana. Naomba niseme hili kwa uchache tu.

Mabinti wengi wamekuwa moto mno na kujikuta wanangukia pua wakitangaziwa ndoa na hawa watoto wetu wa kiume wenye mikakati yao, bila kuchukua muda wa kumsoma na kumfahamu muoaji, mwisho wa siku wanatutesa wanandugu.

Wifi yangu wa miaka 22 alikutana na kijana akamjaza upepo wa ndoa, walifahamiana kwa muda mchache sanaa, baada ya kuleta taarifa za ndoa aliulizwa sanaaa kama kijana anamfahamu vizuri na kama kweli yuko tayari kungia kwenye ndoa hiyo.

Ndoa iliandaliwa na kufana sana, kwakua ndoa inafungwa upande wa mwanamke kulingana na dini, kuna sintofahamu zilitokea ambazo ziliashiria kabisa kijana muoaji ni changamoto na kuleta hofu huko binti aendako kama utakuwa na usalama. Ni miezi miwili sasa tunajua hata ajira ya kijana aliyomwambia binti sio ya kweli pamoja na vitu kibaaaaoooo.

Michango inauma jamani, mnatesa familia pia, unapokutana na changamoto hata familia inaingia kwenye simanzi, mara zote familia hutakia heri pale jambo la baraka kama ndoa likitokea. Chunguza mtu, mfahamu vizuri, usiolewe kwa kuonyesha mashost au kuwarusha roho, maisha unaenda kuishi wewe, cha moto utakiona wewe sisi washereheshaji tu.
Habari za muda huu wapendwa katika bwana. Naomba niseme hili kwa uchache tu.

Mabinti wengi wamekuwa moto mno na kujikuta wanangukia pua wakitangaziwa ndoa na hawa watoto wetu wa kiume wenye mikakati yao, bila kuchukua muda wa kumsoma na kumfahamu muoaji, mwisho wa siku wanatutesa wanandugu.

Wifi yangu wa miaka 22 alikutana na kijana akamjaza upepo wa ndoa, walifahamiana kwa muda mchache sanaa, baada ya kuleta taarifa za ndoa aliulizwa sanaaa kama kijana anamfahamu vizuri na kama kweli yuko tayari kungia kwenye ndoa hiyo.

Ndoa iliandaliwa na kufana sana, kwakua ndoa inafungwa upande wa mwanamke kulingana na dini, kuna sintofahamu zilitokea ambazo ziliashiria kabisa kijana muoaji ni changamoto na kuleta hofu huko binti aendako kama utakuwa na usalama. Ni miezi miwili sasa tunajua hata ajira ya kijana aliyomwambia binti sio ya kweli pamoja na vitu kibaaaaoooo.

Michango inauma jamani, mnatesa familia pia, unapokutana na changamoto hata familia inaingia kwenye simanzi, mara zote familia hutakia heri pale jambo la baraka kama ndoa likitokea. Chunguza mtu, mfahamu vizuri, usiolewe kwa kuonyesha mashost au kuwarusha roho, maisha unaenda kuishi wewe, cha moto utakiona wewe sisi washereheshaji tu.

Tunalaumu ndoa ni ngumu kumbe ni nyinyi wenyewe ndio chanzo cha ugumu. Ndoa nyingi ikifika miezi sita tu iko ICU. Maamuzi sahihi hayafanyiki, kukurupuka ni kwingi, kila jambo linakuwa na taa nyekundu lakini mnapuuzia. oooh atabadilika mbeleni, ashindwe kumbadilisha mama yake mzazi wewe ndio utaweza?

Mabinti wa ndoa, mtulize mishono na viherehere.



Tunalaumu ndoa ni ngumu kumbe ni nyinyi wenyewe ndio chanzo cha ugumu. Ndoa nyingi ikifika miezi sita tu iko ICU. Maamuzi sahihi hayafanyiki, kukurupuka ni kwingi, kila jambo linakuwa na taa nyekundu lakini mnapuuzia. oooh atabadilika mbeleni, ashindwe kumbadilisha mama yake mzazi wewe ndio utaweza?

Mabinti wa ndoa, mtulize mishono na viherehere.

Mkuu hawa wake za watu wapya wapya ni janga hawachelewi kukutumia vipicha picha vyao usipo react wanakupigia video calls yani mpka mchana jua kali mtu mpaka unajiuliza kama walikuwa wanajua sisi ni mahandsome kwanini waolewe na waliowaoa au kuna mapepo
 
Habari za muda huu wapendwa katika bwana. Naomba niseme hili kwa uchache tu.

Mabinti wengi wamekuwa moto mno na kujikuta wanangukia pua wakitangaziwa ndoa na hawa watoto wetu wa kiume wenye mikakati yao, bila kuchukua muda wa kumsoma na kumfahamu muoaji, mwisho wa siku wanatutesa wanandugu.

Wifi yangu wa miaka 22 alikutana na kijana akamjaza upepo wa ndoa, walifahamiana kwa muda mchache sanaa, baada ya kuleta taarifa za ndoa aliulizwa sanaaa kama kijana anamfahamu vizuri na kama kweli yuko tayari kungia kwenye ndoa hiyo.

Ndoa iliandaliwa na kufana sana, kwakua ndoa inafungwa upande wa mwanamke kulingana na dini, kuna sintofahamu zilitokea ambazo ziliashiria kabisa kijana muoaji ni changamoto na kuleta hofu huko binti aendako kama utakuwa na usalama. Ni miezi miwili sasa tunajua hata ajira ya kijana aliyomwambia binti sio ya kweli pamoja na vitu kibaaaaoooo.

Michango inauma jamani, mnatesa familia pia, unapokutana na changamoto hata familia inaingia kwenye simanzi, mara zote familia hutakia heri pale jambo la baraka kama ndoa likitokea. Chunguza mtu, mfahamu vizuri, usiolewe kwa kuonyesha mashost au kuwarusha roho, maisha unaenda kuishi wewe, cha moto utakiona wewe sisi washereheshaji tu.

Tunalaumu ndoa ni ngumu kumbe ni nyinyi wenyewe ndio chanzo cha ugumu. Ndoa nyingi ikifika miezi sita tu iko ICU. Maamuzi sahihi hayafanyiki, kukurupuka ni kwingi, kila jambo linakuwa na taa nyekundu lakini mnapuuzia. oooh atabadilika mbeleni, ashindwe kumbadilisha mama yake mzazi wewe ndio utaweza?

Mabinti wa ndoa, mtulize mishono na viherehere.
Well said
 
Nilikuwa real sana kwa binti mmoja hivi,naona ameona me mshamba.Sasa kaenda kwa waigizaji cha moto anakiona sasa.

Me nacheka tu hapa
 
Back
Top Bottom