Mabinti wa kitanga mhiiiiiiiiiiiiii

Mabinti wa kitanga mhiiiiiiiiiiiiii

aisee kweli hata mie sioni zile kamba zetu! dah zile zinaamusha ari sana yaani, yaani huwa nikiziona, nitamfuatilia huyo dada mpaka nimpate! dah shanga zina raha yake bwana!
 
nikishinda jackport bingo kitu cha kwanza ni kununua shamba tanga na kujenga nyumba huko ..........raskazon beach ushafika tanga weye......................
 
Kama ndiyo hivi ngoja weekend ijayo nitembelee tanga japo kwa siku 2! Kwahiyo wenyeji haya mambo nikiwa Tanga nayapata sehemu gani?
 
tatizo ni wachafu halafu huwa wananuka m.avi na utoko....si wanapenda tigo?....wakiwa wananengua ni kama majini yaliyomo ndani yao ndio unayolala nayo....wana majini mahaba hao.
 
Domhome umenikumbusha mambo ya BAMPARI, na wale wanawake wauzaji na sauti zao za kutokea puani''taratibu mitan'umiza.hivi wale mbuni wapo bado enzi hizo kulikuwa na kina Peter Tino,Kiloka na nani sijui.
 
Kaka unanikumbusha Tanga, nilikuwa pale Galanos, mitaa ya kisosora,chumbageni, majani mapana,duhhh

Mkuu, kumbe wewe ni zao la mzee kinala? Unamkumbuka mama msemo? Na masawe je?
 
Kaka unanikumbusha Tanga, nilikuwa pale Galanos, mitaa ya kisosora,chumbageni, majani mapana,duhhh
Mkuu kumbe umewahi kuishi Kisosora! Unakumbuka chumvini kupitia shule ya msingi LY, hapa sokoni upande wa kulia kulikuwa na ukumbi ukiitwa Social centre, hapo ukitaka bia utapata, ukitaka dansi mpaka kunakucha.
 
Bila kumsahau msocha.....Kinala yuko wpi cku hizi??tulikuwa tunalima c mchezo

Aaah! Mambo ya Socha boy. Ingekuwa zama hizi lazima angeitwa Sharo baro. Nasikia Kinala bado yupo. Mkonge ilikuwa poa sana.
 
Mkuu umenikumbusha Sahare enzi hizo kulikuwa bado mapori, jinsi wapemba walivyokuwa wabishi wa kujenga vyoo na badala yake wakichimba dawa porini na kutuachia miche ya mipera.

This is hilarious! Hasa hapo pekundu
 
Mkuu kumbe umewahi kuishi Kisosora! Unakumbuka chumvini kupitia shule ya msingi LY, hapa sokoni upande wa kulia kulikuwa na ukumbi ukiitwa Social centre, hapo ukitaka bia utapata, ukitaka dansi mpaka kunakucha.

Si ilikuwa ni Police Station baadae.....wewe wa wapi pale.
 
tatizo ni wachafu halafu huwa wananuka m.avi na utoko....si wanapenda tigo?....wakiwa wananengua ni kama majini yaliyomo ndani yao ndio unayolala nayo....wana majini mahaba hao.

Duh . . .
We utakuwa na tabia chafu sana wewe!
 
Madame X nadhani atakuwa anaikumbuka vizuri Nguvumali mpaka Ikulu, Chumbageni, Mtupie, Kwaminchi, Gofu, Mwakizaro, Mwanzange, Mapinduzi, Majengo, Magomeni, Masiwani na Tangamano yake, Kana, Bombo & Raskazone kwa Washua, Kisosora, Mikanjuni, Magaoni kwa wamakonde, Duga n.k.
 
Si ilikuwa ni Police Station baadae.....wewe wa wapi pale.
Uko sawa kabisa Mkuu, mimi nimekulia Chumbageni mkabala na NHC block A & B. Hapo kisosora Social Centre tulikuwa tunafuata mademu, tulikuwa tunawahi halafu tunasubiria kwenye makochi ya zenge pale kando yake kwenye maduka mengi, enzi za Mzee mmoja maarufu sana wa Kiarabu anaitwa Abdi (Marehemu)
 
Uko sawa kabisa Mkuu, mimi nimekulia Chumbageni mkabala na NHC block A & B. Hapo kisosora Social Centre tulikuwa tunafuata mademu, tulikuwa tunawahi halafu tunasubiria kwenye makochi ya zenge pale kando yake kwenye maduka mengi, enzi za Mzee mmoja maarufu sana wa Kiarabu anaitwa Abdi (Marehemu)

Wanaita kotaz wenyewe, namjua yule mwarabu, duuh alikufa eeh. So ulikuwa mitaa ya kwa mzee bwanga?
 
tatizo ni wachafu halafu huwa wananuka m.avi na utoko....si wanapenda tigo?....wakiwa wananengua ni kama majini yaliyomo ndani yao ndio unayolala nayo....wana majini mahaba hao.

Acha uwongo wewe labda huyo wa kwako ndio ananuka!!!
 
Wanaita kotaz wenyewe, namjua yule mwarabu, duuh alikufa eeh. So ulikuwa mitaa ya kwa mzee bwanga?
Kama hata mzee Bwanga unamfahamu wewe wakwetu kabisa, tulikuwa tunakwenda kununua ICE CREAM pale. Ulishawahi kula miswele (kaa) pale mtaa wa Kwa Hamisi Mzee?
Bila shaka pia utakuwa unamkumbuka Mzee Maeda, Mzee Hans Pope (wote hawa marehemu). Kumbe wakati huo ulikuwepo duuh, ama kweli milima haikutani lakini binadamu... Ningependa siku moja nikuone nafikiri lazima nitakukumbuka dada yangu mwenyewe.
 
grafani11 Hamisi mzee muuza mikaa au, tunachakachua thread bwana nitakupm...nawajua wote hao marehemu, nilisoma enzi hizo huko TG ...wanavituko Watanga bwana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom