Mabinti wa kilokole tafadhali pendezeni

We ni muasherati
 
Si ukawachukue hao hao wanaopendeza aisee msiwapangie watu maisha, kama unaona washamba achana nao kachukue wajanja wenzio ebooo wanawake wote hawa unashindwaje kupata chaguo lako?
 
Wapemdwa hata social media huku hawapiti, wameambiwa ni dhambi. Hivyo ujumbe haujafika
 
Wapemdwa hata social media huku hawapiti, wameambiwa ni dhambi. Hivyo ujumbe haujafika
Oooooh kwamba ni mambo ya kishetani???
Mbona mapastor wao wamejaa kwenye magroup ya whatsapp
 






Very good bro!yani mdada unashindwa hata kutoka nae kwa sie marafiki zake kapaukaaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…