Kuhusu kufa hilo sitaki kuamini. Ila kuolewa na hao wa kanda ya ziwa siwezi shangaa. Navyoona ni kuwa wadada wa kichaga wanajua tabia za kaka zao through life experience. Kwa ufupi nimesikia wadada wa kichaga wakiwabonda kaka zao kwa hiyo wana wadisqualify kuwa si wame wazuri sitaki kwenda deep kusema tabia walizo nazo hao makaka zao.
Ila kuwatetea hao makaka zao naweza sema ni kawaida kuku ukimchunguza huwezi kumla. Hata mimi natokea mkoa mmoja wa kanda ya ziwa na niliapa kuwa sitakaa niolewa na mtu wa kwetu kwa kuwa nawajua vizuri. Kuna mdada ameolewa na mkaka mtu wa kwetu basi ananilalamikia sana wewe kaka zako washenzi. Mimi nawatetea huku kimoyomoyo nasema hujiulizi kwa nini mimi niliwakimbia.
Kwa hiyo nimeona cases nyingi sana hapa mjini wadada hawapendi kuolewa na watu wa kwao kwa kuwa wanajua weakness zao.
Kuhusu kuwapenda/kuwa/olewa na hao wakaka unaowasema labda kwasababu ni wajanja/wanaendana/shibana n.k.Kuhusu kuua waume hayo ni maneno tu ya watu wasio na kazi za kufanya...kuhusu wakaka wa Kichagga kutowaoa wadada wa Kichagga huo ni uongo tu sijui mnautoa wapi maana wajomba na kaka zangu si chini ya kumi wameoa Uchaggani!
Hata hivyo kama unayosema yangekua ya kweli especially namba moja na mbili bado sioni tatizo liko wapi.Wewe na wenzio sijui kinawauma nini maana hamna anaeumia.Au kwasababu wewe sio wa sehemu hizo hivyo karoho kanakuuma kwa kudhani una nafasi ndogo?!Jaribu bahati yako....kama wewe ni binadamu usie na kasoro zisizo za kawaida ..mwenye mwelekeo na anaeeleweka waweza pendwa tu kama wengine maana hatuna kitabu cha kutuongoza kujua kabila gani la kupendwa na lipi la kuachwa....
Kuhusu kuwapenda/kuwa/olewa na hao wakaka unaowasema labda kwasababu ni wajanja/wanaendana/shibana n.k.Kuhusu kuua waume hayo ni maneno tu ya watu wasio na kazi za kufanya...kuhusu wakaka wa Kichagga kutowaoa wadada wa Kichagga huo ni uongo tu sijui mnautoa wapi maana wajomba na kaka zangu si chini ya kumi wameoa Uchaggani!
Hata hivyo kama unayosema yangekua ya kweli especially namba moja na mbili bado sioni tatizo liko wapi.Wewe na wenzio sijui kinawauma nini maana hamna anaeumia.Au kwasababu wewe sio wa sehemu hizo hivyo karoho kanakuuma kwa kudhani una nafasi ndogo?!Jaribu bahati yako....kama wewe ni binadamu usie na kasoro zisizo za kawaida ..mwenye mwelekeo na anaeeleweka waweza pendwa tu kama wengine maana hatuna kitabu cha kutuongoza kujua kabila gani la kupendwa na lipi la kuachwa....
Hhahahh...Ngoswe asante...umenifurahisha hapo SANYA JUU na kwenye NGARARIMU....dah kweli vitu vya asili havina mpinzani!!!Alafu umesahau Kiburu!!Da Lizzy thanks sana!Kwa kuongezea ni kuwa watu hawajui kuwa dunia ya sasa imebadilika, waachane na kukariri mambo ya miaka ya 47! Ukioa mwanamke wa kichaga kiukweli hutalala njaa hata siku moja, anajua kupanga maisha hasa ukiwa muwazi kwake na kumuonyesha mapenzi ya kweli.Binafsi am so proud kuona wanawake wa kichaga na nina-wa-admire sana! Wanaume wengi wametoka kimaisha na hawa dadaz wa kichaga! Wengi wanasema Ukioa mwanamke wa kichaga ujue umepata jembe la uhakika ktk maisha yako! NB: Ila usije kurupuka eti umekutana nae manzese uwanja wa Fisi kisha uje kulia lia hapa hatutakuelewa! Mtoto wa kichaga mtoe aliyeko skonga/ Univers, college au Work mate wako ofisini/kazini kwenu etc kamwe hutajuta ktk maisha.Kama vipi panda kule kule milimani: Kibosho, Marangu, Rombo, Machame, Hai/sanya juu, longuo, mawela n.k huko ndiko utapata kitu pure kabisaaLakini inapendeza umpate wa huku mjini kisha yeye akupeleke kule ukanywe mbege bila kusahau ngararimu... lol ...... Achana na hawa watu bana wanajua kupenda from their heart........ na ukileta ukicheche....... hapo ... hata kupigwa utapigwa.....Kifupi hawapendi kuchezewa/kupotezewa dira ktk maisha. NDIO MAANA WANAUME WENGI WANAWAOGOPA HAWA DADA ZETU WA KICHAGA COZ WAPO STABLE NA HAWATAKI KUCHANGANYWA NA MAMBO YENU YA KUWA VICHECHE MSIO RIDHIKA KTK MAPENZI a.k.a msiwe chovya chovya!!
Hhahah..alafu eti mihasira anakuja kumwaga hapa!!Napigilia misumari hapo Lizzy,umenifurahisha sana.....................................Huyu kakimbiwa kwa kukosa sifa na vigezo vya mwanaume bora sasa anatafuta pa kupumulia!
Da Lizzy thanks sana!
Kwa kuongezea ni kuwa watu hawajui kuwa dunia ya sasa imebadilika, waachane na kukariri mambo ya miaka ya 47! Ukioa mwanamke wa kichaga kiukweli hutalala njaa hata siku moja, anajua kupanga maisha hasa ukiwa muwazi kwake na kumuonyesha mapenzi ya kweli.
Binafsi am so proud kuona wanawake wa kichaga na nina-wa-admire sana! Wanaume wengi wametoka kimaisha na hawa dadaz wa kichaga! Wengi wanasema Ukioa mwanamke wa kichaga ujue umepata jembe la uhakika ktk maisha yako!
NB: Ila usije kurupuka eti umekutana nae manzese uwanja wa Fisi kisha uje kulia lia hapa hatutakuelewa! Mtoto wa kichaga mtoe aliyeko skonga/ Univers, college au Work mate wako ofisini/kazini kwenu etc kamwe hutajuta ktk maisha.
Kama vipi panda kule kule milimani: Kibosho, Marangu, Rombo, Machame, Hai/sanya juu, longuo, mawela n.k huko ndiko utapata kitu pure kabisaa
Lakini inapendeza umpate wa huku mjini kisha yeye akupeleke kule ukanywe mbege bila kusahau ngararimu... lol ...... Achana na hawa watu bana wanajua kupenda from their heart........ na ukileta ukicheche....... hapo ... hata kupigwa utapigwa.....
Kifupi hawapendi kuchezewa/kupotezewa dira ktk maisha. NDIO MAANA WANAUME WENGI WANAWAOGOPA HAWA DADA ZETU WA KICHAGA COZ WAPO STABLE NA HAWATAKI KUCHANGANYWA NA MAMBO YENU YA KUWA VICHECHE MSIO RIDHIKA KTK MAPENZI a.k.a msiwe chovya chovya!!
Ebana weeeee....kweli asiyepapenda kwao MSHAMBA!!........hajawahi kupelekwa hapo mndenyi huyo,tunamkaribisha kwenye hii FULL SUTI huku mlimani,nipo jikoni namuandalia Mtori apunguze baridi wakati akisubiri NDUU ziive!.Jioni nitamtoa kwa NGARARIM na baadae nimpeleke akapate"kitochi" pale kwa mzee Ndesa View attachment 33217
utafiti ulifanyia chuo gani ?
mwenye uelewa mdogo utamjua tu si mpaka mfanye intavuu
gud lizzHhahah..alafu eti mihasira anakuja kumwaga hapa!!
Ni dhambi kubaguana kwa ukabila au udini wa mwenzako ila nina swali kwa Wana Great thinker, katika pitapita yangu nimegundua mabinti wengi wa kichaga na kipare wana miguu midogo(mwembamba) sana tofauti na maumbo yao yalivyo. Je hii inatokana na nini? Je kuna mtu alishawahi kufanya utafiti wa RNA na DNA kujua nini kisababishi cha hali hii? Wadau wenye wapenzi wachaga au wapare (wanawake) naomba mtizamo wenu.
namaanisha ule ukosefu wa lishe, i mean wembamba wa miguu yao unatokana na nini? Je kuna uhusiano wa RNA na DNA kati ya wachaga na wapare? Next time punguza hasira ROSE b'coz jina lako linaashiria upendo,furaha,utayari n.kmidogo??mifupi??fafanua acha mambo ya haraka