Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Mambo ni aje wana JF!!!
Zamani wakati nakua na kujua Mapenzi nilidhani Wanaume peke yetu ndo ving'ang'anizi hata binti akikuambia hakutaki unakomaa nae hadi kieleweke lakini siku hizi Mabinti ni balaa unamwambia humtaki still anataka awe na wewe!!!!
Hivi hii ndo Haki sawa kwa wote au ndo mambo dunia ya sasa!!!!
Zamani wakati nakua na kujua Mapenzi nilidhani Wanaume peke yetu ndo ving'ang'anizi hata binti akikuambia hakutaki unakomaa nae hadi kieleweke lakini siku hizi Mabinti ni balaa unamwambia humtaki still anataka awe na wewe!!!!
Hivi hii ndo Haki sawa kwa wote au ndo mambo dunia ya sasa!!!!