Mabinti nao kumbe ving'ang'anizi......!!!!

Eng. Smasher

JF-Expert Member
Nov 13, 2010
745
23
Mambo ni aje wana JF!!!
Zamani wakati nakua na kujua Mapenzi nilidhani Wanaume peke yetu ndo ving'ang'anizi hata binti akikuambia hakutaki unakomaa nae hadi kieleweke lakini siku hizi Mabinti ni balaa unamwambia humtaki still anataka awe na wewe!!!!

Hivi hii ndo Haki sawa kwa wote au ndo mambo dunia ya sasa!!!!
 
siku hizi wana ujasiri chaliangu!
na wanatoa kweli.juzi nilikua chuo flani mwanza, nikatongozwa live.
af mwanamke akikataa hua anaonekana mwadilif, ila mwanaume akikataa
huonekana kama mwoga au mshamba, au weak.
 
Mambo ni aje wana JF!!!
Zamani wakati nakua na kujua Mapenzi nilidhani Wanaume peke yetu ndo ving'ang'anizi hata binti akikuambia hakutaki unakomaa nae hadi kieleweke lakini siku hizi Mabinti ni balaa unamwambia humtaki still anataka awe na wewe!!!!

Hivi hii ndo Haki sawa kwa wote au ndo mambo dunia ya sasa!!!!



me apenda wewe..ajua una....bt i do lav u ..UTANSAIDIAJE SASA LABDA?
 
Na hawa ving`ang`nizi ni wabaya kaa chonjo akipata mimba tu unae milele huyo.

Kunamdada kazaa na jamaa ameng`ang`ania ukweni hatoki na jamaa kisha mfukuza kashindwa kaamua kuhama makazi .
 
Hapo nakuunga mkono chalii yangu,
hiyo ilinitokea dada alionesha nia zote na matendo yote lakini nikawa sina mpango
akawa anawahadthia wenzie kuwa nina AIBU sn siwez kutongoza et!!!


siku hizi wana ujasiri chaliangu!
na wanatoa kweli.juzi nilikua chuo flani mwanza, nikatongozwa live.
af mwanamke akikataa hua anaonekana mwadilif, ila mwanaume akikataa
huonekana kama mwoga au mshamba, au weak.
 
Back
Top Bottom