OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,662
- 120,321
Kumekuwa na kasumba ofisi za umma kutumika kujibu kashfa binafsi. Imefanyika hivyo kwa Balozi Sefue, na leo imetokea kwa Bi.Wangwe aliyetenguliwa NSSF. Badala ya wahusika kujitokeza na kujibu kashka serikali imekuwa ikijibu badala yao.Huu sio utaratibu mzuri na inavunja nguvu mapambano dhidi ya majibu. Na hata ikitokea kashfa hiyo imekuwa dhahiri itakuwa ngumu kwa serikali kula matapishi. Sasa tunashauri hilo lisitokee kwa hii kashfa ya MABILIONI YA MUITALIANO. Tayari wahusika wameanza kujitokeza wakiwa katika ''panick mode'' na kushindwa kabisa kujibu kashfa nzito.