Na hapo bado Kudadadeki! Ahsante Serikali ya awamu ya Tano ya ' Mwanamume ' Rais Dkt. Magufuli. Ninyooshe hivyo hivyo Watu ambao katika awamu zilizopita hasa ya Nne waliwatesa, waliwanyonya na waliwadharau sana Watanzania ambao ndiyo wenye ' Rasilimali ' zote.
Utadhani wapiganaji wa Taliban.
Ila mzee wa henken kantuma sana bia na nyama kipindi kile mi waiter ye na hao mawaziri kibao wanakula bata.
Kipindi hicho Ruge anamtuma kuanzia waziri mkuu mpk naibu waziri wa upambe.
Wakimaliza Kazi wanapewa Nyama na Heineken na bahasha kimya kimya.
Huyu singa alipewa bomu la nyuki tu mwishoni akaambiwa utapata asali.
na mie nilimpiga sana tu humo kwenye nyama na bia asifungue kesi tu.
Maisha haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.