Ukifikiri kwa kina juu ya hii inaitwa vita ya kupambana na ufisadi unaona ni ulaghai na chuki binafsi tu dhidi ya matajiri
Wahusika wengine wapi? Maana mgao ulitembeaUmejuaje? Una uelewa kwa kiasi gani kuhusu hiyo kesi inayowakabili hao watu?
Wahusika wengine wapi? Maana mgao ulitembea
Manina zako nimecheka mpaka watu wamenishangaaNdevu tu ziko hivyo, mavuzi je?
Mahakama zetu zinapokea maelekezo kutoka chatoKwa nini Mahakama haiwaachii kama hawana kosa?
hahahahahah nyie ndio mashujaa wa awamu ya 4 sio, Enzi za kulipia viti Bar watu wakiwa bado ofisini, eti hiki asikalie mtu tafadhali...nakuja!Utadhani wapiganaji wa Taliban.
Ila mzee wa henken kantuma sana bia na nyama kipindi kile mi waiter ye na hao mawaziri kibao wanakula bata.
Kipindi hicho Ruge anamtuma kuanzia waziri mkuu mpk naibu waziri wa upambe.
Wakimaliza Kazi wanapewa Nyama na Heineken na bahasha kimya kimya.
Huyu singa alipewa bomu la nyuki tu mwishoni akaambiwa utapata asali.
na mie nilimpiga sana tu humo kwenye nyama na bia asifungue kesi tu.
Maisha haya
Vijisenti vya ugoro, hahahah.., daah..!naona baba wa Heineken Kavaa kanzu,Kuna watu wamekula maisha hii nchi,
unamaanisha nini?Vijisenti vya ugoro, hahahah.., daah..!
Kuna kipindi cha nyuma wakati Escrow ndio imebumburuka huyo Rugemarila alipohojiwa akasema kwamba pesa waliyoiba ni 'vijisenti vya ugoro tu', sasa mabilioni yote yale yeye anasema vijisenti vya ugoro ndio watu wakashangaa sana huyu mtu anapesa kiasi gani?unamaanisha nini?
Kwa Pesa Anayo Ya Maana Tu,mpaka Watoto Wake Wakina J Majeuri Fujo Mjini Sababu Ya Pesa,Kuna kipindi cha nyuma wakati Escrow ndio imebumburuka huyo Rugemarila alipohojiwa akasema kwamba pesa waliyoiba ni 'vijisenti vya ugoro tu', sasa mabilioni yote yale yeye anasema vijisenti vya ugoro ndio watu wakashangaa sana huyu mtu anapesa kiasi gani?
Ugoro wa vijisentiunamaanisha nini?
Kweli kabsa,maana haya mapito yanahitaji uwe na moyo wa kuyamudu.Mwenye Enzi Mungu atuepushe walahi
Huyo J inaonekana alikuwa bwana wakoKwa Pesa Anayo Ya Maana Tu,mpaka Watoto Wake Wakina J Majeuri Fujo Mjini Sababu Ya Pesa,
hapana aisee,huwa naogopa wanaume wa mjini,walugaluga ndo dizaini zanguHuyo J inaonekana alikuwa bwana wako
Hahaaaa!!!! Oldschoolhapana aisee,huwa naogopa wanaume wa mjini,walugaluga ndo dizaini zangu