Huwezi endelea kwa kuwa na chuki na matajiri,masikini atazidi kuwa masikini kwa kutegemea tajiri kushuka,awamu ya kwanza walikuwa na chuki na matajiri kwa vita feki vya wahujumu uchumi, wengi walinyanganywa mali zao walizopata kihalali kwa sababu ya chuki,alipooingia ruksa wale wale waliopokonywa Mali zao sababu wana akili ya kutafuta wakawa na kuzidi kuwa matajiri, walio wanyanganya wamekufa masikini,aliepewa kapewa utasubiri sana
