Mabibi na uleaji mbaya wa wajukuu

Mabibi na uleaji mbaya wa wajukuu

  • Thread starter Thread starter Deleted member 485868
  • Start date Start date
D

Deleted member 485868

Guest
Habari zenu wa JF

Leo naomba tujadili namna Mama zetu wanavyolea watoto wetu

Hivi ni sahihi Bibi kumtetea mjukuu pale unapomuadhibu hata kama amekosa?

Wewe kama mzazi wachukuliaje suala la malezi ya bibi kwa mjukuu wake?

Je! Malezi wanayowapa/kuwadekeza na kuwaendekeza hawa watoto wetu ni sahihi?

Nawakilisha
 
Na kwa nini bibi alee wajukuu, si alishamaliza kazi ya kukulea? Unampelekea mama/baba alee wajukuu unategemea awalee kweli wakati yeye ameshachoka?

Binafsi siafiki kulelewa wanangu na wazazi wangu, alishamaliza kazi yao kutulea sisi.
 
Hahah! shemu utanidhalilisha mbele ya watu ukue
..

Haiwezekani shem wewe eti utotoni mwako ndo uwe umecheza gemu la nyoka(snake xenzie)means utoto wako ulikua kweny miaka ya 2004 na kuendelea wakati huo sisi wengine tumeshakuwa wahenga wa muda mrefu tu...

Na haiwezekani eti wewe ulelewe kizungu na bibi wakati wengine maisha ya uzungu tumeyaanzisha sisi kwa wajukuu zetu.

Shemu ntakuja na kauli mbiu ya
"DAVET ONESHA CHETI CHA KUZALIWA"
 
Haiwezekani shem wewe eti utotoni mwako ndo uwe umecheza gemu la nyoka(snake xenzie)means utoto wako ulikua kweny miaka ya 2004 na kuendelea wakati huo sisi wengine tumeshakuwa wahenga wa muda mrefu tu...

Na haiwezekani eti wewe ulelewe kizungu na bibi wakati wengine maisha ya uzungu tumeyaanzisha sisi kwa wajukuu zetu.

Shemu ntakuja na kauli mbiu ya
"DAVET ONESHA CHETI CHA KUZALIWA"
embu niache

 
Back
Top Bottom