Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 19,968
- 23,981
Pole sana Mabere....anaumwa muda sasa naona labda na umri plus magonjwa hali sio sawa sawa! Poleni wana familia na CDM wote
Mh. Wakili Msomi Mabere Nyaucho Marando ni Mgonjwa wa Muda mrefu na alipelekwa India na kurudi bila ya Mafanikio na kwa sasa anaendelea kujiuguza hapa jijini Dar Es salaam na cha Msingi kwetu ni kumuombea Tahfeef kwa Mwenyezimungu Mtukufu