mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,469
Poleni na majukumu familia ya JF. Niende kwenye swali hapo juu. Huyu mtu alikuwa mwanasiasa na wakili pia. Cha ajabu kapotea ghafla na sijasikia tukio linalomhusu hadi akatoweka. Najiuliza yupo wapi? Anafanya nini? Je kapatwa na nini Mbna kmya sana?
Taka kuropoka jambo gani hapa sasaMwisho wa watu wasio beba dhana ya kweli isiyo akisi dhamira huwa ni mwisho wa aibu
Ndivyo hivyo utakuwa mwisho wa lipumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na shobo sana lazima baadae utulizweMabere Marando ni Mgonjwa yupo kwake Tegeta na mara moja moja anakuwa kwenye ofisi yake pale RITA Tower, binafs nmemuona na kuongea nae mara nne hv, ukikutana nae unaweza jifunza somo zuri sana juu ya siasa hapa nchini
Mabere Marando ni Mgonjwa yupo kwake Tegeta na mara moja moja anakuwa kwenye ofisi yake pale RITA Tower, binafs nmemuona na kuongea nae mara nne hv, ukikutana nae unaweza jifunza somo zuri sana juu ya siasa hapa nchini
Hakika watu wanam-misi Ndugu Marando, Wakili na Mwanasiasa Nguli. Ni kama tunavyo wamisi: Rost tamu L'Azizi, Yosef Makamba, Abdul Kinana Rahman, Imma Nchimbi, Hasani Ngwii Lizi, Ayoub Kimbau, Willy Sheikh Lukindo, Lukas Sele Silii, Jared Gachocha.....wa WAPI wanadamu hawa?tumemiss sana hasa