Mabere Nyaucho Marando katupwa wapi?

Mabere Nyaucho Marando katupwa wapi?

Huyu mkuu amepotea sana kwenye majukwaa ya CHADEMA. Sio kwenye kampeni wala kwenye kesi za wabunge wa chama chake. Hata kwenye fund raising ya juzi sikumuona wala kumsikia .Wenye taarifa zake naomba waziweke jamvini maana hasikiki kabisa
 
Nimemmiss sana.Mahakamani,kama si kupishana na msomi mwenzangu huyu wa Sheria,basi haonekani kabisa.Kampenini hasikiki.Siasani hasomeki.Yu wapi?
 
Stop lying first. Then stop diverting people's mind that
Marando anatetea mafisadi mahakamani, na UKWELI NI HUU NA UNAUJUA

WAKINA PATEL FEDHA ZOTE ZILIPITISHWA KTK AKAUNTA YAKE ILI ZIFANYIE KAMPENI ZA 2005 KUMWINGIZA ****** MAGOGONI, so MARANDO
KAWEKA WAZII ANAWATETEA KWANI FEDHA ZILIPITISHWA KUPIGIA KAMPENI ZA CCM 2005 HIVYO KUMSHITAKI PATEL KWA KUWA DILI LA CCM LIMESANUKA NI KUWAPIGA CHANGA LA MACHO
WANANCHI---- huu ndio ukweli....

Now... don't come here pretending ur pro-CDM, of which ur CCM, diverting FACTS of EPA, na kutaka kusema
Marando anatetea mafisadi, MARANDO NI BINGWA and will remain that way utake usitake ...wtf.... come clean here wacha umbeaaa implying u have unhealthy mind.... sichelei kukuita una afya mbovu ya akili....





Sijamsikia bingwa wa sheria mabere marando yuko wapi? pamoja na Fredie Mpendazoe, na Acardo Ntagazwa au wamewa-shibuda. hata katika kamati ya kwenda kumuona Rais wamewekwa pembeni. vivyo hivyo, nilitegemea Kitila Mkumbo angekuwa miongoni mwa wanakamati saba walioteuliwa kumuona Rais kwani ni mtambo katika kujenga hoja.

kuna tetesi kwamba kilichompoza marando ni kutetea mafisadi mahakamani akiwemo Jitu patel?

my take: 1. kama unatetea mafisadi unawezaje kujitenga na ufisadi?
2. marando anasimamia haki ipi kwa kachanganya sheria na siasa?
3. chadema hawawezi kuchafuka kwa kiongozi mkuu wa chama kuwatetea mafisadi?
4. je, marando hawezi kutoa siri za chadema kwa mafisadi juu ya namna chadema ilivyojipanga kuwashughulikia mafisadi?
 
Usichanganye kazi ya mtu na siasa!inaonekana akili zako kama NAPE.ntagazwa na mabere ni chadema damu.
 
Mshahara na fedha inayotokana na kazi ya kumtetea fisadi si dhambi lakini fedha ya mafisadi ikitumika kwenye kampeni ni dhambi. How to define the word " conflict of interest" .....mgongano wa kimaslahi wa kisiasa na kifisadi.

kiswahili kigumu hiki!!!!!!!!!
 
Sijamsikia bingwa wa sheria mabere marando yuko wapi? pamoja na Fredie Mpendazoe, na Acardo Ntagazwa au wamewa-shibuda. hata katika kamati ya kwenda kumuona Rais wamewekwa pembeni. vivyo hivyo, nilitegemea Kitila Mkumbo angekuwa miongoni mwa wanakamati saba walioteuliwa kumuona Rais kwani ni mtambo katika kujenga hoja.

kuna tetesi kwamba kilichompoza marando ni kutetea mafisadi mahakamani akiwemo Jitu patel?

my take: 1. kama unatetea mafisadi unawezaje kujitenga na ufisadi?
2. marando anasimamia haki ipi kwa kachanganya sheria na siasa?
3. chadema hawawezi kuchafuka kwa kiongozi mkuu wa chama kuwatetea mafisadi?
4. je, marando hawezi kutoa siri za chadema kwa mafisadi juu ya namna chadema ilivyojipanga kuwashughulikia mafisadi?

CDM mitambo ya kujenga hoja ipo mingi hivo si lazima waende wote ndiyo maana awamu ya kwanza hata Dr.wa ukweli hakwenda lakini waliowakilisha walijenga hoja kisawasawa.
 
Marando ananeemeka na fedha za kifisadi. Wanasheria watatuambia Jitu Patel ni mtuhumiwa tu wa EPA sasa jiulize wanasiasa watakataaje kupokea fedha za mafisadi kama bado ni watuhumiwa tu????????? CCM itakataaje fedha za akina Jitu Patel kama bado ni watuhumiwa tu.


Taaluma ya wanasheria inaruhusu wao kupata maslahi kwenye fedha chafu.
 
Sijamsikia bingwa wa sheria mabere marando yuko wapi? pamoja na Fredie Mpendazoe, na Acardo Ntagazwa au wamewa-shibuda. hata katika kamati ya kwenda kumuona Rais wamewekwa pembeni. vivyo hivyo, nilitegemea Kitila Mkumbo angekuwa miongoni mwa wanakamati saba walioteuliwa kumuona Rais kwani ni mtambo katika kujenga hoja. kuna tetesi kwamba kilichompoza marando ni kutetea mafisadi mahakamani akiwemo Jitu patel? my take: 1. kama unatetea mafisadi unawezaje kujitenga na ufisadi? 2. marando anasimamia haki ipi kwa kachanganya sheria na siasa? 3. chadema hawawezi kuchafuka kwa kiongozi mkuu wa chama kuwatetea mafisadi? 4. je, marando hawezi kutoa siri za chadema kwa mafisadi juu ya namna chadema ilivyojipanga kuwashughulikia mafisadi?
ulitaka kwa rais waende wote? hata kama waengeenda wote, bado usingeridhika ungetaka na wewe uende.
 
Marando yupo ana kazi nyingi sana za Jeetu Patel na Manji.
 
Mwanasiasa na mwanasheria nguri huyu haonekani, hsikiki ktk anga za siasa mwenye taarifa zake atujuze
 
Ameng'olewa meno yote na CHADEMA. Hana tena mahala pa kusikia. Chezea Mbowe wewe?
 
Mbowe anajaza washkaji zake tu kwenye nafasi za uongozi. Wengine hawana maslahi kwake
 
Back
Top Bottom