FIKRA MBADALA
Senior Member
- Jun 30, 2008
- 167
- 16
Sijamsikia bingwa wa sheria mabere marando yuko wapi? pamoja na Fredie Mpendazoe, na Acardo Ntagazwa au wamewa-shibuda. hata katika kamati ya kwenda kumuona Rais wamewekwa pembeni.
Vivyo hivyo, nilitegemea Kitila Mkumbo angekuwa miongoni mwa wanakamati saba walioteuliwa kumuona Rais kwani ni mtambo katika kujenga hoja.
Kuna tetesi kwamba kilichompoza marando ni kutetea mafisadi mahakamani akiwemo Jitu Patel?
My take:
1. kama unatetea mafisadi unawezaje kujitenga na ufisadi?
2. marando anasimamia haki ipi kwa kachanganya sheria na siasa?
3. CHADEMA hawawezi kuchafuka kwa kiongozi mkuu wa chama kuwatetea mafisadi?
4. Je, Marando hawezi kutoa siri za CHADEMA kwa mafisadi juu ya namna chadema ilivyojipanga kuwashughulikia mafisadi?
Vivyo hivyo, nilitegemea Kitila Mkumbo angekuwa miongoni mwa wanakamati saba walioteuliwa kumuona Rais kwani ni mtambo katika kujenga hoja.
Kuna tetesi kwamba kilichompoza marando ni kutetea mafisadi mahakamani akiwemo Jitu Patel?
My take:
1. kama unatetea mafisadi unawezaje kujitenga na ufisadi?
2. marando anasimamia haki ipi kwa kachanganya sheria na siasa?
3. CHADEMA hawawezi kuchafuka kwa kiongozi mkuu wa chama kuwatetea mafisadi?
4. Je, Marando hawezi kutoa siri za CHADEMA kwa mafisadi juu ya namna chadema ilivyojipanga kuwashughulikia mafisadi?