du! kazi kweri kweri.kama katiba inamruhusi sioni tatizo anamuiga jmk
du! kazi kweri kweri.kama katiba inamruhusi sioni tatizo anamuiga jmk
Mbowe anajaza washkaji zake tu kwenye nafasi za uongozi. Wengine hawana maslahi kwake
mwanasiasa na mwanasheria nguri huyu haonekani, hsikiki ktk anga za siasa mwenye taarifa zake atujuze
nawahurumia sana watanzania wasioona wala kutafakari.kila mtu ana uhuru wa mawazo,mimi ningeona ni busara kama hoja zilizotolewa kuhusu mbowe na slaa kwa matumizi ya ovyo ya ela ya walipa kodi ka zingejibiwa. Tutafakari ilo ma------------ alishatuhasa jama......nazikubari jitihada za chadema sawa lkn hata mamba uwa anamtafuna mtu uku analia si machozi ya kweli hayo,,, ,,mimi kamwe c mwepesi kuhukumu.tafakari, ipo cku tutawakumbuka hawa
mbona uko kimbea mbea zaidi, nyinyi ndio mnaompotosha chalii zzk sisi ni mbelel kwa mbele hatuna haja na ngonjera zenu
Mwanasiasa na mwanasheria nguri huyu haonekani, hsikiki ktk anga za siasa mwenye taarifa zake atujuze
Well last time, nakumbuka alikuwa akiumwa na kulazwa pale MuhimbiliSalama wadau?
Huyu mwanasiasa bado anajihusisha na siasa au aliamua kijitoa huku? Sijamsikia muda mrefu. Kwa mwenye taarifa zake atujuze.
Nawasilisha
Nilitaka kuanzisha huu uzi, lkn nikakuta upo humu. Chadema jibuni swali hiliNi muda umepita toka huyu kamanda atoweke katika vyombo vya habari na siasa za Tanzania.
Hata ushiriki wake katika siasa za 2015 kuelekea uchaguzi ulikuwa
Je amekumbwa na maswahibu gani.? Je ameachana na siasa.? Je siyo tena mmojawapo wa mwanasheria wa chadema.? Maana hata ushiriki wake katika kesi za chama hauonekani.
Ni wa muhimu sana kipindi hiki. Mbona kimya kulikoni
Mh. Wakili Msomi Mabere Nyaucho Marando ni Mgonjwa wa Muda mrefu na alipelekwa India na kurudi bila ya Mafanikio na kwa sasa anaendelea kujiuguza hapa jijini Dar Es salaam na cha Msingi kwetu ni kumuombea Tahfeef kwa Mwenyezimungu Mtukufu
Jamani yupo wapi huyu mtu