Hatukutaka anayepoteza watu, anayeua watu. wapi azory, wapi benNadhani tumechoka Amani! Hivi tunataka kitu gani? Tulikuwa na Rais Kikwete tulilamika kila kukicha,Leo tumempata Raised anayeyasimsmia tuliyoyalalamikia!
Hata Libya Msidhani yalianza ghafla!
ushuzi wa baba yako"My take" ndio ushuuz gani huu. Leta habari kamili uweke na chanzo cha habari. Sio my takiiiii my took
Waandishi wakenya mnalipa shilingi ngapi kunyoosha kiingereza?Human and civil-rights bodies seek UN action on Tanzania
Mambo yamezidi kuharibika. Mashirika ya dunia ya haki za binadamu yaomba UN kuingilia kati uvunjifu wa haki za binadamu Tanzania.
My take: Wanatuonea wivu tutawazidi maendeleo
johnthebaptistHuman and civil-rights bodies seek UN action on Tanzania
38 groups want Tanzanian govt to address the deteriorating human rights situation in the country.www.theeastafrican.co.ke
na kutumbua mimacho utadhani limefumaniwa na mkwewe,Halaf majuzi lile li Profesa linalotokwa mapovu mdomoni lilimdanganya Magu eti Tanzania ya Magufuli imesifiwa na UN kwa rekodi safi na "matendo mema" kuhusu demokrasia na haki za binadamu nchini!
Maendeleo gani?Human and civil-rights bodies seek UN action on Tanzania
Mambo yamezidi kuharibika. Mashirika ya dunia ya haki za binadamu yaomba UN kuingilia kati uvunjifu wa haki za binadamu Tanzania.
My take: Wanatuonea wivu tutawazidi maendeleo
johnthebaptistHuman and civil-rights bodies seek UN action on Tanzania
38 groups want Tanzanian govt to address the deteriorating human rights situation in the country.www.theeastafrican.co.ke
Indira Gandhi,PM wa India (1984), aliuawa kwa kupigwa risasi na bodyguard wake.Mwache ajizungushie hao walinzi wake wenye silaha kali kali akiamini hawawezi kuzitumia kumchapa nazo yeye mwenyewe!
cc : Beberu MwituMabeberu, wenzenu sisi ni watoto, hebu tuoneeni huruma na mimba za utotoni.
View attachment 1103799
Hawa ndio mabeberu wanaotuonea wivu.
View attachment 1103816
NATANIA TU, JUST TO RIDICULE THEMMaendeleo gani?
You're wishing for the 'impossible'. "Make Reformation?" Ataanzia wapi! Hata angetamani iwe hivyo, nguvu ya kufanya hivyo hana.Exactly, he needs to make reformations on his human rights policies!
Inborn characters, brutality gene? Mungu tusaidie! kama Idd amin, alidiriki hata kumpiga risasi kwa mkono wake Askofu wa Anglikan Janan Luwum of Uganda!You're wishing for the 'impossible'. "Make Reformation?" Ataanzia wapi! Hata angetamani iwe hivyo, nguvu ya kufanya hivyo hana.
It's an inherent thing. Watu tumeumbwa tuwe tulivyo. Kuna yanayoweza kubadilishwa, na kuna yasiyoweza kubadilishwa hata mhusika afanye nini.
Janis’s maana mwaka ujao tutaanza kupeleka starlight mwezini. So they are getting jealous of our development at a frog jumping speedHuman and civil-rights bodies seek UN action on Tanzania
Mambo yamezidi kuharibika. Mashirika ya dunia ya haki za binadamu yaomba UN kuingilia kati uvunjifu wa haki za binadamu Tanzania.
My take: Wanatuonea wivu tutawazidi "maendeleo"...
johnthebaptistHuman and civil-rights bodies seek UN action on Tanzania
38 groups want Tanzanian govt to address the deteriorating human rights situation in the country.www.theeastafrican.co.ke
Tafakari juu ya kauli yako !!. Hatuhitaji kusimamiwa kwa kuvunja katiba na haki za watu wengine !!.Nadhani tumechoka Amani! Hivi tunataka kitu gani? Tulikuwa na Rais Kikwete tulilamika kila kukicha,Leo tumempata Raised anayeyasimsmia tuliyoyalalamikia!
Hata Libya Msidhani yalianza ghafla!
Acha wanajifurahisha tu hakuna la maana lotatokea tuonane 2025Nadhani tumechoka Amani! Hivi tunataka kitu gani? Tulikuwa na Rais Kikwete tulilamika kila kukicha,Leo tumempata Raised anayeyasimsmia tuliyoyalalamikia!
Hata Libya Msidhani yalianza ghafla!
Ni wivuu tu (Gwajima's voice)Human and civil-rights bodies seek UN action on Tanzania
Mambo yamezidi kuharibika. Mashirika ya dunia ya haki za binadamu yaomba UN kuingilia kati uvunjifu wa haki za binadamu Tanzania.
My take: Wanatuonea wivu tutawazidi "maendeleo"...
johnthebaptistHuman and civil-rights bodies seek UN action on Tanzania
38 groups want Tanzanian govt to address the deteriorating human rights situation in the country.www.theeastafrican.co.ke
Alafu Ttcl imeiomba tena serikali hela, ila serikali yetu ina comedy kuliko Insta ya Jaymondhawa mabeberu wanawivu kwa kuwa serikali imepokea gawio kutoka TTCL
Mzee mashoga niwengi,wengine hajajitangaza Tu wapo UN.World Bank,Mabank Mbalimbali,Kwa ujmla huko ulaya wameshikilia vyombo vya maamuzi.UN bhana yaani bola umpige risasi 17 Tundu lissu kuliko kuwagusa MASHOGA
BASHITE EFFECT