I wonder, haya mabasi ya Sumry yametumwa kuwamaliza wafanyakazi wa hospitali ya rufaa? au kamati ya ufundi ya wenye basi imea,biwa mpaka wafanyakazi wa afya nao wawemo? this year; ajali ya kwanza ya Sumry ilimhusisha mfanyakazi mmoja wa records mbeya rufaa, akafa, Next ajali alikufa nesi mmoja wa rufaa, and this time the only single eye specialist wetu amekufa- what is this with Sumry????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.