Mabasi ya Mbeya yanakimbia sana

Mabasi ya Mbeya yanakimbia sana

Haya mabus ya Dar to Mbeya, Mbeya to Dar, Mwanza to Mbeya, Arusha to Mbeya speed zao si za kitoto. Nimesafiri mara kadhaa route ya Mbeya ni balaa tupu, sitataja mabus ila ntatoa mifano.

1. Ukiwa Dodoma stand mabus ya kutoka Arusha ni mengi ila ya mbeya lazima yaingie kwanza.

2. Ukiwa Moro magari ya mbeya yafika mapema kutoka Dar

Je, watu wa huko ni wapenda speed? Au nini hasaa?
Tanzania hakuna mabasi yanayokimbia speed ni 80 to 85 km/hr ikizidi hapo dereva anakula fine

Sent from my phone using JamiiForums mobile app
 
Haya mabus ya Dar to Mbeya, Mbeya to Dar, Mwanza to Mbeya, Arusha to Mbeya speed zao si za kitoto. Nimesafiri mara kadhaa route ya Mbeya ni balaa tupu, sitataja mabus ila ntatoa mifano.

1. Ukiwa Dodoma stand mabus ya kutoka Arusha ni mengi ila ya mbeya lazima yaingie kwanza.

2. Ukiwa Moro magari ya mbeya yafika mapema kutoka Dar

Je, watu wa huko ni wapenda speed? Au nini hasaa?
Zambia ndo mabasi yao yanakimbia kweli mpaka 120kph na zaid na ndo maana kule kwao ajaliza mabasi zinatokeaga sana na zinaua kweli mfano ile ya powetools iliua had baadhi ya watanzania

Sent from my phone using JamiiForums mobile app
 
Haya mabus ya Dar to Mbeya, Mbeya to Dar, Mwanza to Mbeya, Arusha to Mbeya speed zao si za kitoto. Nimesafiri mara kadhaa route ya Mbeya ni balaa tupu, sitataja mabus ila ntatoa mifano.

1. Ukiwa Dodoma stand mabus ya kutoka Arusha ni mengi ila ya mbeya lazima yaingie kwanza.

2. Ukiwa Moro magari ya mbeya yafika mapema kutoka Dar

Je, watu wa huko ni wapenda speed? Au nini hasaa?
Check Zambia huko ni 120+ kmhr


Sent from my phone using JamiiForums mobile app
 
102840130_592260425010084_1321021232642787457_n.jpg
103285731_160257825711059_2314261665910147599_n.jpg
103567655_590878115148315_83425602581995905_n.jpg
103810948_2720982758134797_1648215446071385025_o.jpg
96757325_131331501857837_6897232704417300480_n.jpg
94884268_1323967007796901_779725113288294400_n.jpg
 
Enzi za Ally's ilikuwa balaa aisee

Dereva manyau nyau au masha acha kabisa
Mleta mada acha uongo. Speed unayoisema ipi wakati gari zimefungwa Vin'gamuzi ukifika speed 85 tu vinasoma nakuleta makelele basi zima. Ilitakiwa ulalamike kwa nn speed ndogo Mbeya gari zinafika saa moja badala ya saa tisa au saa kumi . mikoa kama Mbeya , tabora inatakiwa gari ya kwanza iingie saa tisa jioni. Kigoma saa mbili usiku mashine ipumue stand ya mkoa, mwanza mbili usiku flester iwe ishaingia na ally's
 
Haya mabus ya Dar to Mbeya, Mbeya to Dar, Mwanza to Mbeya, Arusha to Mbeya speed zao si za kitoto. Nimesafiri mara kadhaa route ya Mbeya ni balaa tupu, sitataja mabus ila ntatoa mifano.

1. Ukiwa Dodoma stand mabus ya kutoka Arusha ni mengi ila ya mbeya lazima yaingie kwanza.

2. Ukiwa Moro magari ya mbeya yafika mapema kutoka Dar

Je, watu wa huko ni wapenda speed? Au nini hasaa?
Inaonekana KILIMNJARO BUS ni mbabe ata huko UNYAKYISANI tunaamini kaskazini
 
Haya mabus ya Dar to Mbeya, Mbeya to Dar, Mwanza to Mbeya, Arusha to Mbeya speed zao si za kitoto. Nimesafiri mara kadhaa route ya Mbeya ni balaa tupu, sitataja mabus ila ntatoa mifano.

1. Ukiwa Dodoma stand mabus ya kutoka Arusha ni mengi ila ya mbeya lazima yaingie kwanza.

2. Ukiwa Moro magari ya mbeya yafika mapema kutoka Dar

Je, watu wa huko ni wapenda speed? Au nini hasaa?
Sheji mshana jr njoo
 
Haya mabus ya Dar to Mbeya, Mbeya to Dar, Mwanza to Mbeya, Arusha to Mbeya speed zao si za kitoto. Nimesafiri mara kadhaa route ya Mbeya ni balaa tupu, sitataja mabus ila ntatoa mifano.

1. Ukiwa Dodoma stand mabus ya kutoka Arusha ni mengi ila ya mbeya lazima yaingie kwanza.

2. Ukiwa Moro magari ya mbeya yafika mapema kutoka Dar

Je, watu wa huko ni wapenda speed? Au nini hasaa?
Huo ni ushamba kujadili mbio za mabasi.
Mambo yalishapitwa siku nyingi hayo.
 
Mwaka 98 nilipanda TAWAQUAL ya Kaburu tulitoka Ubungo- Majisaa 12.15 asubuhi. Ndani ya basi kulikuwa na mzee mmoja anahubiri neno alipandia Morogoro, ngoma wakati inakata kona za IYOVU mzee aliacha kuhubiri akaenda kumchungulia dereva, alirudi kimya na INJILI ikaishia pale. Saa 5 hivi tuko Iringa pale Ipogoro. TRAFIKI akatuhoji safari ikoje wahuni wakajibu "poa". Kumbuka hapo kuna basi iliingia mtoni mazima huko Tanga.
Tuliingia Mbeya saa 9 hivi. Nikaulizwa umekuja na JENEZA (Mwamahapa- M Sleeping Coach)? Nikawajibu hapana, hiyo ngoma ilitua nusu saa kabla yetu.
Hahahaha nimecheka sana aisee
 
Mkuu ili jina lako limenikumbusha shule yangu apo uboyzini, ilikua kila tukikaribia kufunga ni story za mabus na speed za kila bus huku tukisubir muda kufika.. kufunga wanafunzi tunaenda kulala stand kuu tukisubir kuondoka alfajir yake apo mabus kama sumry na hood kwa sisi wa Arusha..ila dar kuna mabus kama nganga budget, abood sijui kama bado yapo.. Ilikua shangwe sana kipindi kile
Kumbe umesoma Iyunga mkuu??
 
Kitonga Moja...hiyo. Ila serikali ikipata ela tena wapanue ile barabara ya kitonga ziwe njia nne. Maana ukiwa kwenye katikati ya semi trela...roho inadunda.
Napaogopa sana pale aisee sehemu nyingine ni kwenye Kona za Nyang'oro panatisha sana jamani
 
Mbona siku hizi wako slow....

Watu walikuwa wanapiga Mbeya Chalinze Arusha, wanaondoka saa 12 asb, saa 3 usiku wapo Atown
 
Back
Top Bottom