MENISON
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 726
- 622
Haya mabus ya Dar to Mbeya, Mbeya to Dar, Mwanza to Mbeya, Arusha to Mbeya speed zao si za kitoto. Nimesafiri mara kadhaa route ya Mbeya ni balaa tupu, sitataja mabus ila ntatoa mifano.
1. Ukiwa Dodoma stand mabus ya kutoka Arusha ni mengi ila ya mbeya lazima yaingie kwanza.
2. Ukiwa Moro magari ya mbeya yafika mapema kutoka Dar
Je, watu wa huko ni wapenda speed? Au nini hasaa?
1. Ukiwa Dodoma stand mabus ya kutoka Arusha ni mengi ila ya mbeya lazima yaingie kwanza.
2. Ukiwa Moro magari ya mbeya yafika mapema kutoka Dar
Je, watu wa huko ni wapenda speed? Au nini hasaa?