Mabasi ya Mbeya yanakimbia sana

Mabasi ya Mbeya yanakimbia sana

Mleta mada acha uongo. Speed unayoisema ipi wakati gari zimefungwa Vin'gamuzi ukifika speed 85 tu vinasoma nakuleta makelele basi zima. Ilitakiwa ulalamike kwa nn speed ndogo Mbeya gari zinafika saa moja badala ya saa tisa au saa kumi . mikoa kama Mbeya , tabora inatakiwa gari ya kwanza iingie saa tisa jioni. Kigoma saa mbili usiku mashine ipumue stand ya mkoa, mwanza mbili usiku flester iwe ishaingia na ally's
Kuna kamchezi. Juzkati nilitoka tanga fulani nio pembeni ya dereva. Jamaa anakanyaga zhongtong mpaka 100kph hakuna alarm wala nini.

Kufika wami tukakuta ajali . Tumeruhusiwa mida ya 10:40pm ila by 12:30am nashuka tegeta.

Jaamaa wanapiga kiatu balaa.
 
Hekima sa tisa jioni siku tuko ubungo mataa pale licha ya foleni,na ilitoka tunduma nilidandia uyole.yule dereva kimbaumbau hivi ye anapiga fegi tu na gia hewani balaa sikupata hata lepe la usingizi njia nzima machine inapepea tu pale mafinga ndo aliua
Ila huku mwishoni kulitokeaga chuma moja ya tunduma siikumbuki jina sana ilikua nyeupe scania malcopolo (ILAS)sinahakika maana nilidandia chalinze nilikua naenda mbeya
 
Lilikuwa linapita Iyunga saa 8:20 ilikuwa ni roho mkononi
Mkuu ili jina lako limenikumbusha shule yangu apo uboyzini, ilikua kila tukikaribia kufunga ni story za mabus na speed za kila bus huku tukisubir muda kufika.. kufunga wanafunzi tunaenda kulala stand kuu tukisubir kuondoka alfajir yake apo mabus kama sumry na hood kwa sisi wa Arusha..ila dar kuna mabus kama nganga budget, abood sijui kama bado yapo.. Ilikua shangwe sana kipindi kile
 
Mleta mada acha uongo. Speed unayoisema ipi wakati gari zimefungwa Vin'gamuzi ukifika speed 85 tu vinasoma nakuleta makelele basi zima. Ilitakiwa ulalamike kwa nn speed ndogo Mbeya gari zinafika saa moja badala ya saa tisa au saa kumi . mikoa kama Mbeya , tabora inatakiwa gari ya kwanza iingie saa tisa jioni. Kigoma saa mbili usiku mashine ipumue stand ya mkoa, mwanza mbili usiku flester iwe ishaingia na ally's
Kuna gati pamoja na hiyo alatm kulia kila dereva anatandika fimbo hivyo hivyo.
 
Mwaka 98 nilipanda TAWAQUAL ya Kaburu tulitoka Ubungo- Majisaa 12.15 asubuhi. Ndani ya basi kulikuwa na mzee mmoja anahubiri neno alipandia Morogoro, ngoma wakati inakata kona za IYOVU mzee aliacha kuhubiri akaenda kumchungulia dereva, alirudi kimya na INJILI ikaishia pale. Saa 5 hivi tuko Iringa pale Ipogoro. TRAFIKI akatuhoji safari ikoje wahuni wakajibu "poa". Kumbuka hapo kuna basi iliingia mtoni mazima huko Tanga.
Tuliingia Mbeya saa 9 hivi. Nikaulizwa umekuja na JENEZA (Mwamahapa- M Sleeping Coach)? Nikawajibu hapana, hiyo ngoma ilitua nusu saa kabla yetu.
Iliyotumbikia mtoni ilikua AIR MSAE ilibeba watoto wa shule ilitumbukia wami
 
Kuna kamchezi. Juzkati nilitoka tanga fulani nio pembeni ya dereva. Jamaa anakanyaga zhongtong mpaka 100kph hakuna alarm wala nini.

Kufika wami tukakuta ajali . Tumeruhusiwa mida ya 10:40pm ila by 12:30am nashuka tegeta.

Jaamaa wanapiga kiatu balaa.
Hata DAR EXPRESS ya NAIROBI nayo ni kinu juani inatembea hatari mule ndani alam inalia mwanzo mwisho no body cares ha ha ha ha ha ha
 
Iliyotumbikia mtoni ilikua AIR MSAE ilibeba watoto wa shule ilitumbukia wami
No Air Msae ilipata ajali ya kati ya Msata na Chalinze ikaua abiria wengi sana.Iliyotumbukia mtoni ni No Challange dereva alilazimisha kupita kwenye daraja lililojaa maji maeneo kati ya Mkata na segera.Baadae hiyo No Challenge aikabadilishwa jina ndio hii Tashirif Coach ya sasa
 
No Air Msae ilipata ajali ya kati ya Msata na Chalinze ikaua abiria wengi sana.Iliyotumbukia mtoni ni No Challange dereva alilazimisha kupita kwenye daraja lililojaa maji maeneo kati ya Mkata na segera.Baadae hiyo No Challenge aikabadilishwa jina ndio hii Tashirif Coach ya sasa
Kama hii ajali ya juzi tar5 nilikua njiani maeneo ya wami sio poa
 
No Air Msae ilipata ajali ya kati ya Msata na Chalinze ikaua abiria wengi sana.Iliyotumbukia mtoni ni No Challange dereva alilazimisha kupita kwenye daraja lililojaa maji maeneo kati ya Mkata na segera.Baadae hiyo No Challenge aikabadilishwa jina ndio hii Tashirif Coach ya sasa
Kweli mkuu ilikua no challenge wakati wazir mkuu akiwa sumaye akitubia mkwakwani ila sina kumbukumbu sahihi ila mungu atubariki daraja jipya kwa upande wa kaskazini pale wami litakua msaada wa maisha yetu
 
Haya mabus ya Dar to Mbeya, Mbeya to Dar, Mwanza to Mbeya, Arusha to Mbeya speed zao si za kitoto. Nimesafiri mara kadhaa route ya Mbeya ni balaa tupu, sitataja mabus ila ntatoa mifano.

1. Ukiwa Dodoma stand mabus ya kutoka Arusha ni mengi ila ya mbeya lazima yaingie kwanza.

2. Ukiwa Moro magari ya mbeya yafika mapema kutoka Dar

Je, watu wa huko ni wapenda speed? Au nini hasaa?
Haya yanatangulia kuondoka pale Ubungo
 
Uchafu huo chenizi hilo
103590629_2720302451536161_5609007242818512951_o.jpg
 
majuzi nimetoka zangu bukoba mapema asubuhi nikaingia saa 5 kasoro dakika kama 18 kahama shinyanga tukakaa mda mrefu sana kusubiri mda uende unaopaswa
nilikuw anakuja huku dar
 
Back
Top Bottom