ezekia ngailo
Member
- Nov 1, 2015
- 40
- 21
Mkeka unavutia
Kuna kamchezi. Juzkati nilitoka tanga fulani nio pembeni ya dereva. Jamaa anakanyaga zhongtong mpaka 100kph hakuna alarm wala nini.Mleta mada acha uongo. Speed unayoisema ipi wakati gari zimefungwa Vin'gamuzi ukifika speed 85 tu vinasoma nakuleta makelele basi zima. Ilitakiwa ulalamike kwa nn speed ndogo Mbeya gari zinafika saa moja badala ya saa tisa au saa kumi . mikoa kama Mbeya , tabora inatakiwa gari ya kwanza iingie saa tisa jioni. Kigoma saa mbili usiku mashine ipumue stand ya mkoa, mwanza mbili usiku flester iwe ishaingia na ally's
Uchafu huo chenizi hilo
Ila huku mwishoni kulitokeaga chuma moja ya tunduma siikumbuki jina sana ilikua nyeupe scania malcopolo (ILAS)sinahakika maana nilidandia chalinze nilikua naenda mbeyaHekima sa tisa jioni siku tuko ubungo mataa pale licha ya foleni,na ilitoka tunduma nilidandia uyole.yule dereva kimbaumbau hivi ye anapiga fegi tu na gia hewani balaa sikupata hata lepe la usingizi njia nzima machine inapepea tu pale mafinga ndo aliua
Mkuu ili jina lako limenikumbusha shule yangu apo uboyzini, ilikua kila tukikaribia kufunga ni story za mabus na speed za kila bus huku tukisubir muda kufika.. kufunga wanafunzi tunaenda kulala stand kuu tukisubir kuondoka alfajir yake apo mabus kama sumry na hood kwa sisi wa Arusha..ila dar kuna mabus kama nganga budget, abood sijui kama bado yapo.. Ilikua shangwe sana kipindi kileLilikuwa linapita Iyunga saa 8:20 ilikuwa ni roho mkononi
HapanaHivi huyu Sauli ni yule mbunge mmiliki wa Landmark hotel Tukuyu?
Kitonga Moja...hiyo. Ila serikali ikipata ela tena wapanue ile barabara ya kitonga ziwe njia nne. Maana ukiwa kwenye katikati ya semi trela...roho inadunda.
Kuna gati pamoja na hiyo alatm kulia kila dereva anatandika fimbo hivyo hivyo.Mleta mada acha uongo. Speed unayoisema ipi wakati gari zimefungwa Vin'gamuzi ukifika speed 85 tu vinasoma nakuleta makelele basi zima. Ilitakiwa ulalamike kwa nn speed ndogo Mbeya gari zinafika saa moja badala ya saa tisa au saa kumi . mikoa kama Mbeya , tabora inatakiwa gari ya kwanza iingie saa tisa jioni. Kigoma saa mbili usiku mashine ipumue stand ya mkoa, mwanza mbili usiku flester iwe ishaingia na ally's
Iliyotumbikia mtoni ilikua AIR MSAE ilibeba watoto wa shule ilitumbukia wamiMwaka 98 nilipanda TAWAQUAL ya Kaburu tulitoka Ubungo- Majisaa 12.15 asubuhi. Ndani ya basi kulikuwa na mzee mmoja anahubiri neno alipandia Morogoro, ngoma wakati inakata kona za IYOVU mzee aliacha kuhubiri akaenda kumchungulia dereva, alirudi kimya na INJILI ikaishia pale. Saa 5 hivi tuko Iringa pale Ipogoro. TRAFIKI akatuhoji safari ikoje wahuni wakajibu "poa". Kumbuka hapo kuna basi iliingia mtoni mazima huko Tanga.
Tuliingia Mbeya saa 9 hivi. Nikaulizwa umekuja na JENEZA (Mwamahapa- M Sleeping Coach)? Nikawajibu hapana, hiyo ngoma ilitua nusu saa kabla yetu.
Hata DAR EXPRESS ya NAIROBI nayo ni kinu juani inatembea hatari mule ndani alam inalia mwanzo mwisho no body cares ha ha ha ha ha haKuna kamchezi. Juzkati nilitoka tanga fulani nio pembeni ya dereva. Jamaa anakanyaga zhongtong mpaka 100kph hakuna alarm wala nini.
Kufika wami tukakuta ajali . Tumeruhusiwa mida ya 10:40pm ila by 12:30am nashuka tegeta.
Jaamaa wanapiga kiatu balaa.
No Air Msae ilipata ajali ya kati ya Msata na Chalinze ikaua abiria wengi sana.Iliyotumbukia mtoni ni No Challange dereva alilazimisha kupita kwenye daraja lililojaa maji maeneo kati ya Mkata na segera.Baadae hiyo No Challenge aikabadilishwa jina ndio hii Tashirif Coach ya sasaIliyotumbikia mtoni ilikua AIR MSAE ilibeba watoto wa shule ilitumbukia wami
Kama hii ajali ya juzi tar5 nilikua njiani maeneo ya wami sio poaNo Air Msae ilipata ajali ya kati ya Msata na Chalinze ikaua abiria wengi sana.Iliyotumbukia mtoni ni No Challange dereva alilazimisha kupita kwenye daraja lililojaa maji maeneo kati ya Mkata na segera.Baadae hiyo No Challenge aikabadilishwa jina ndio hii Tashirif Coach ya sasa
Kweli mkuu ilikua no challenge wakati wazir mkuu akiwa sumaye akitubia mkwakwani ila sina kumbukumbu sahihi ila mungu atubariki daraja jipya kwa upande wa kaskazini pale wami litakua msaada wa maisha yetuNo Air Msae ilipata ajali ya kati ya Msata na Chalinze ikaua abiria wengi sana.Iliyotumbukia mtoni ni No Challange dereva alilazimisha kupita kwenye daraja lililojaa maji maeneo kati ya Mkata na segera.Baadae hiyo No Challenge aikabadilishwa jina ndio hii Tashirif Coach ya sasa
No challenge pia iliwahi kudumbukia wamiIliyotumbikia mtoni ilikua AIR MSAE ilibeba watoto wa shule ilitumbukia wami
kilimanjaroHiyo nyuma gari gani
Haya yanatangulia kuondoka pale UbungoHaya mabus ya Dar to Mbeya, Mbeya to Dar, Mwanza to Mbeya, Arusha to Mbeya speed zao si za kitoto. Nimesafiri mara kadhaa route ya Mbeya ni balaa tupu, sitataja mabus ila ntatoa mifano.
1. Ukiwa Dodoma stand mabus ya kutoka Arusha ni mengi ila ya mbeya lazima yaingie kwanza.
2. Ukiwa Moro magari ya mbeya yafika mapema kutoka Dar
Je, watu wa huko ni wapenda speed? Au nini hasaa?
Uchafu huo chenizi hilo