Mabasi ya Mbeya yanakimbia sana

Mabasi ya Mbeya yanakimbia sana

SABCO, HOOD NA ABOOD ZA TUNDUMA MIAKA HIYO...ZILIKUWA ZINAINGIA MBEYA SAA TISA NA SAA KUMI NA NUSU ZIPO TUNDUMA.

SASA HIVI ANGALAU KIDOGO NDIO MAANA HATA AJALI ZIMEPUNGUA.
 
Hakuna basi linalokimbia hapo, zote speed ni moja tu, wanachofanya ni kuondoa zile simama simama njiani na vituo vya ovyo ili kuokoa muda.
Kumbuka dereva wa Sauli (Mwanyiro na mwenzake) walifungiwa kwa miezi mitatu baada ya kuzidisha mwendo kasi zaidi ya 110kms/h
 
Hakuna basi linalokimbia hapo, zote speed ni moja tu, wanachofanya ni kuondoa zile simama simama njiani na vituo vya ovyo ili kuokoa muda.
Dereva ndo anakimbiza 😀 😀 😀 😀
 
SEMA hao jamaa wanachofanya wanamaintain speed Hadi kwenye speed limit ya 50 wanakanyaga 100 ..so lazima wawahi
 
Mkuu nimewahi kutoka Mbeya saa 6 am, nikafika Mwanza kesho yake saa 12pm. Acha tu hizo basi zikimbie, tofauti na hapo ni mateso makubwa. Mwisho wa siku naipongeza serikali kuweka speed governor, imepunguza sana ajali za barabarani.
 
SABCO, HOOD NA ABOOD ZA TUNDUMA MIAKA HIYO...ZILIKUWA ZINAINGIA MBEYA SAA TISA NA SAA KUMI NA NUSU ZIPO TUNDUMA.

SASA HIVI ANGALAU KIDOGO NDIO MAANA HATA AJALI ZIMEPUNGUA.
Umenikumbusha enzi za miaka ya 1998 hadi 2000 kulikuwa na basi la masia, lilikuwa inafika Tunduma saa 9:00 mchana kutoka Dar... Chini ya dereva mahiri Deo Kapelege, aisee ilikuwa balaa
 
Mleta mada acha uongo. Speed unayoisema ipi wakati gari zimefungwa Vin'gamuzi ukifika speed 85 tu vinasoma nakuleta makelele basi zima. Ilitakiwa ulalamike kwa nn speed ndogo Mbeya gari zinafika saa moja badala ya saa tisa au saa kumi . mikoa kama Mbeya , tabora inatakiwa gari ya kwanza iingie saa tisa jioni. Kigoma saa mbili usiku mashine ipumue stand ya mkoa, mwanza mbili usiku flester iwe ishaingia na ally's
 
Back
Top Bottom