Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,862
- 41,205
Hapo wamepishana
Na hao waliodhurumiwa nauli zao wanapataje haki yao?"Na hii siyo mara moja, wamekuwa wakifanya hivi mara nyingi na tumewaonya mara kwa mara na anaona kulipa faini ni kawaida kwake. Sasa sisi lengo letu ni kutaka wafuate sheria na masharti ya leseni, watoe huduma bora na siyo kutoa faini. Na kama anaona kulipa faini ni kawaida kwake sisi hatuwezi kuvumilia, tumetoa maagizo asitoe huduma kuanzia jumatatu mpaka atakapofanya maboresho na kufuata masharti ya leseni yake."
Basi za Kilimanaro Express tangu zikiwa rangi ya kijani ni matatizo hawataki kulipa kodi kila mara yanakamatwa na bosi naye akakamatwa Temeke akasukumwa ndani akaja na mabasi meupe bado matatizo ni yaleyale.Kampuni ina miaka mingi, badala iwe mfano wa kuigwa kwa wengine, imekuwa kinyume chake!
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kichwa maji tu usela mavi hakunaga mchaga asiyepenyeza rupia kwenye kutoboaKwa bongo hii yenye janja janja bila shaka kili kagoma kula na washika dau, wameamua kumchoma.
Halafu familiar Yao,Kodi ya tra utalipa weweWaliwahi kunifanyia uhuni Karatu-Dar sintowasahau. Unakata tiketi Kilimanjaro Express unasafiri na La Crome? Acha wafungiwe tu
😀😀😀😀😀Wakati huo konda wa La crome amevaa shirt/tshirt ya Kimbinyiko!