TADPOLE
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,807
- 9,051
Abood sio Mzanzibar,Abood asili yao ni yemen..baba yake mzee mohamed Abood alitoka Yemen moja kwa moja akaenda kuishi Morogoro kupigapiga dili ndio akafikia pale..Hiyo kampuni niya Mzanzibari haina faida yoyote sisi tunataka bandari kwanza usafiri wa uganda upo tuu
Kwenye masekeseke ya uhujumi uchumi enzi hizo aliwahi kuwekwa ndani yeye na mwanae mkubwa Tarari kabla ya kukutwa hawana hatia