Asante sana.Ni kweli kuna route mpya huko ulipopataja,kuna nyingine ya Geita inakuja pia..muda ni baada ya mkurugenzi kumalizana na vikao vya bunge soon mwez huu
Wanyambo huwa mnawapiga vita hadi kwa ambavyo hamvimiliki! Wakwe zangu wana matatizoIngekaa poa kama ingekuwa Mwanza to Kampala wa Karagwe wangepandia Kyaka..
Atakuwa amefanya vyema sana kama anaongeza route ya kutokea karagwe kwenda Dar au popote TZ mpaka Uganda maana tayari anayo route ya Bukoba - Dar. Hii itasaidia sana huko Karagwe ambako kwasasa kuna mabasi ya Arusha to Karagwe, Mwanza to Karagwe na Musoma to KaragweNimesikia tetesi za kampuni ya mabasi ya Abood kuanzisha safari mpya za mkoa wa Kagera.
Naomba mwenye taarifa juu ya tetesi hizi anifahamishe.
Safari zitaanza lini?
I think earlier this year the old man was pronounced deadHv Mzee Nondo bado yupo ABOOD?
Wewe mabasi yako unayaosha ?Huduma za abood zinaongeza kwa uchafu, sehemu ya kula chafu, mabasi hayaoshwi,
Mchina atoboi Kampala ruti dume,labda mjapani au mswedenkwanini asitoe Dar - kampala
Ni kweli kuna route mpya huko ulipopataja,kuna nyingine ya Geita inakuja pia..muda ni baada ya mkurugenzi kumalizana na vikao vya bunge soon mwez huu
Na wahudumu magwanda yamepauka hatari!Huduma za abood zinaongeza kwa uchafu, sehemu ya kula chafu, mabasi hayaoshwi,
Abood ni mabasi ya kipuuzi sana. Mnaweza kuwekwa kwenye hiyo karakana yao hata saa moja! Wakijisikia wanawaambia mpande kwenye gari lingine, huku kukiwa hakuna sababu za msingi!Hizi gari si ndio mkifika morogoro mnapelekwa gereji kwao na nyinyi mnaenda fanyiwa service
Inawezekana kukawapo basi litakalopita Benako Ngara kwenda Karagwe/Kampala?Abood ni mabasi ya kipuuzi sana. Mnaweza kuwekwa kwenye hiyo karakana yao hata saa moja! Wakijisikia wanawaambia mpande kwenye gari lingine, huku kukiwa hakuna sababu za msingi!