Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 6,825
- 9,644
Yes hapo unakuwa mfalme wa hiyo route hasa kwa kampuni hizi ndogo,watu kama new force wale hawajali!Kweli mbeya dar hakuna pesa sana abiria ni wengi competition kubwa mno.kama ndo unaanza tafuta njia mpya au ambayo haina ushindani mkubwa anza nayo.baada ya kuwa na jina ndo unaanza kijitanua
Sent using Jamii Forums mobile app