mwaki pesile
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 340
- 487
naona kanunua mpya.
hivi basi za aina hiyo zinauzwa bei gani
hivi basi za aina hiyo zinauzwa bei gani
Hapa faida si ataanza kula baada ya miaka 6.?Mil 760
Hapa faida si ataanza kula baada ya miaka 6.?
Hapa faida si ataanza kula baada ya miaka 6.?
Umesema ukweli kabisa,Hapo anapata faida mwendelezo tu. Kinachoafanyika hapo alipa asilimia 30. Hizo nyingine zinazobakia analipa kwa installment, anacholazimika kulipa hapo ni bima kubwa tu. Gari inaendelea kufanyiwa service na scania wenyewe. Badala ya kutoma 400mil kununua bas la kichina yeye anachukua mkopo labda tuseme alipe milion 250. Akichukua kwa mkopo wa miaka mitano analazimika si juu ya milion 15 kwa mwezi.
Ili uione faida hapo lazima uliweka basi kwenye ruti ndedu ambalo nauli ni kubwa na hata mahesabu ya siku yasipungue900k. Sasa kwa mwezi akisema afanye kwa muda wa siku28 na akija toa gharama ya mkopo anaweza baki na hata milion kadhaa baada ya mkopo. Kumbuka hata wakati wa kupiga mahesabu ya kodi gharama halisi ya mkopo itakuwa inaonekana hivyo kupunguza maumivu ya tra.
Ukiangalia biaashara zote za usafirishaji wa vyombo vyote ni mwendo wa mikopo maana havitabiriki.kwahiyo unapochukua mkopo unatawanya maumivu hasa inapotokea hasara ambayo hailipik.
mfano unanunua gar cash kwa milion400 ukiweka bima kama 600. Baada ya week linagongana au kuungua. Hasara kubwa.
Ila matajiri wetu wengi ni kuigana. Huduma zero na ndo maana mpaka sasa pamoja na kuwa na bei elekezi hakuna ambaye ashafikia ile maximum cap.
Mfano dar-mwanza semi luxury bei elekezi ni 61000 lakin karibia wote ni 40000 hasara ya 20000. Sababu huduma ni za kuigana. Mtu ana mabasi karibia 20. Yaani mtaji wa 400mil*20=8bilion ila anashindwa kulipia labda milion tano kwa mwez ili ajitngaze redion au anashindwa kuwa na mfumo wa mzur wa kukata ticket anabaki tegemea wapiga debe matokeo yake kwenye 40 anabaki na30 bado mafuta,dereva, ufundi na kadhalika.
biashara ya mabasi inalipa sana tena sana kinachohitajika unapoanza ujitoe kikwekweli. Utoe huduma za uhakika uajiri watu profeshino na kuachan na masuala ya kujaza ndugu, ununue vipuri orijino.
Wekeza kwenye huduma nzuri.mteja asafiri kama mfalme, hapa kwenye huduma zikiwa nzuri hata kama ukiweka nauli ya 85000 dar mwanza utajaza watu, kinachoharibu ni huduma.
Kama unaweza funga ac. Ya basi kwa milion kumi unashindwaje kufunga mobile setelite dish kwa hiyo gharama hiyo ukaweka watu wakaenda wanacheck uefa kwa gari hilo hilo.
U will be my next business consultant...Hapo anapata faida mwendelezo tu. Kinachoafanyika hapo alipa asilimia 30. Hizo nyingine zinazobakia analipa kwa installment, anacholazimika kulipa hapo ni bima kubwa tu. Gari inaendelea kufanyiwa service na scania wenyewe. Badala ya kutoma 400mil kununua bas la kichina yeye anachukua mkopo labda tuseme alipe milion 250. Akichukua kwa mkopo wa miaka mitano analazimika si juu ya milion 15 kwa mwezi.
Ili uione faida hapo lazima uliweka basi kwenye ruti ndedu ambalo nauli ni kubwa na hata mahesabu ya siku yasipungue900k. Sasa kwa mwezi akisema afanye kwa muda wa siku28 na akija toa gharama ya mkopo anaweza baki na hata milion kadhaa baada ya mkopo. Kumbuka hata wakati wa kupiga mahesabu ya kodi gharama halisi ya mkopo itakuwa inaonekana hivyo kupunguza maumivu ya tra.
Ukiangalia biaashara zote za usafirishaji wa vyombo vyote ni mwendo wa mikopo maana havitabiriki.kwahiyo unapochukua mkopo unatawanya maumivu hasa inapotokea hasara ambayo hailipik.
mfano unanunua gar cash kwa milion400 ukiweka bima kama 600. Baada ya week linagongana au kuungua. Hasara kubwa.
Ila matajiri wetu wengi ni kuigana. Huduma zero na ndo maana mpaka sasa pamoja na kuwa na bei elekezi hakuna ambaye ashafikia ile maximum cap.
Mfano dar-mwanza semi luxury bei elekezi ni 61000 lakin karibia wote ni 40000 hasara ya 20000. Sababu huduma ni za kuigana. Mtu ana mabasi karibia 20. Yaani mtaji wa 400mil*20=8bilion ila anashindwa kulipia labda milion tano kwa mwez ili ajitngaze redion au anashindwa kuwa na mfumo wa mzur wa kukata ticket anabaki tegemea wapiga debe matokeo yake kwenye 40 anabaki na30 bado mafuta,dereva, ufundi na kadhalika.
biashara ya mabasi inalipa sana tena sana kinachohitajika unapoanza ujitoe kikwekweli. Utoe huduma za uhakika uajiri watu profeshino na kuachan na masuala ya kujaza ndugu, ununue vipuri orijino.
Wekeza kwenye huduma nzuri.mteja asafiri kama mfalme, hapa kwenye huduma zikiwa nzuri hata kama ukiweka nauli ya 85000 dar mwanza utajaza watu, kinachoharibu ni huduma.
Kama unaweza funga ac. Ya basi kwa milion kumi unashindwaje kufunga mobile setelite dish kwa hiyo gharama hiyo ukaweka watu wakaenda wanacheck uefa kwa gari hilo hilo.
8
U will be my next business consultant...
Na kwanini usiniajiri kabisa nikuendesheeU will be my next business consultant...
Umesema kweli....wanaigana bila ubunifu wa kuvutia Wateja. Ukichukulia MTU kama Kisesa wa route ya Dar Mwanza... Kahamia basi za kichina kaishia kushusha beiHapo anapata faida mwendelezo tu. Kinachoafanyika hapo alipa asilimia 30. Hizo nyingine zinazobakia analipa kwa installment, anacholazimika kulipa hapo ni bima kubwa tu. Gari inaendelea kufanyiwa service na scania wenyewe. Badala ya kutoma 400mil kununua bas la kichina yeye anachukua mkopo labda tuseme alipe milion 250. Akichukua kwa mkopo wa miaka mitano analazimika si juu ya milion 15 kwa mwezi.
Ili uione faida hapo lazima uliweka basi kwenye ruti ndedu ambalo nauli ni kubwa na hata mahesabu ya siku yasipungue900k. Sasa kwa mwezi akisema afanye kwa muda wa siku28 na akija toa gharama ya mkopo anaweza baki na hata milion kadhaa baada ya mkopo. Kumbuka hata wakati wa kupiga mahesabu ya kodi gharama halisi ya mkopo itakuwa inaonekana hivyo kupunguza maumivu ya tra.
Ukiangalia biaashara zote za usafirishaji wa vyombo vyote ni mwendo wa mikopo maana havitabiriki.kwahiyo unapochukua mkopo unatawanya maumivu hasa inapotokea hasara ambayo hailipik.
mfano unanunua gar cash kwa milion400 ukiweka bima kama 600. Baada ya week linagongana au kuungua. Hasara kubwa.
Ila matajiri wetu wengi ni kuigana. Huduma zero na ndo maana mpaka sasa pamoja na kuwa na bei elekezi hakuna ambaye ashafikia ile maximum cap.
Mfano dar-mwanza semi luxury bei elekezi ni 61000 lakin karibia wote ni 40000 hasara ya 20000. Sababu huduma ni za kuigana. Mtu ana mabasi karibia 20. Yaani mtaji wa 400mil*20=8bilion ila anashindwa kulipia labda milion tano kwa mwez ili ajitngaze redion au anashindwa kuwa na mfumo wa mzur wa kukata ticket anabaki tegemea wapiga debe matokeo yake kwenye 40 anabaki na30 bado mafuta,dereva, ufundi na kadhalika.
biashara ya mabasi inalipa sana tena sana kinachohitajika unapoanza ujitoe kikwekweli. Utoe huduma za uhakika uajiri watu profeshino na kuachan na masuala ya kujaza ndugu, ununue vipuri orijino.
Wekeza kwenye huduma nzuri.mteja asafiri kama mfalme, hapa kwenye huduma zikiwa nzuri hata kama ukiweka nauli ya 85000 dar mwanza utajaza watu, kinachoharibu ni huduma.
Kama unaweza funga ac. Ya basi kwa milion kumi unashindwaje kufunga mobile setelite dish kwa hiyo gharama hiyo ukaweka watu wakaenda wanacheck uefa kwa gari hilo hilo.
Vuta subira.....ntakufuata soon...kuna mambo yanawekwa sawa....tunakuja kutoa ushindani kwa dar lux route ya Dar Mwanza Na Dar kanda ya ziwa yote......research on progress kupata madereva mahiri.....kondaktaz.....mafundi....marketers....it people..... Etc....hope8
Na kwanini usiniajiri kabisa nikuendeshee
Umesema kweli....wanaigana bila ubunifu wa kuvutia Wateja. Ukichukulia MTU kama Kisesa wa route ya Dar Mwanza... Kahamia basi za kichina kaishia kushusha bei
Vuta subira.....ntakufuata soon...kuna mambo yanawekwa sawa....tunakuja kutoa ushindani kwa dar lux route ya Dar Mwanza Na Dar kanda ya ziwa yote......research on progress kupata madereva mahiri.....kondaktaz.....mafundi....marketers....it people..... Etc....hope
Upo vizuriHapo anapata faida mwendelezo tu. Kinachoafanyika hapo alipa asilimia 30. Hizo nyingine zinazobakia analipa kwa installment, anacholazimika kulipa hapo ni bima kubwa tu. Gari inaendelea kufanyiwa service na scania wenyewe. Badala ya kutoma 400mil kununua bas la kichina yeye anachukua mkopo labda tuseme alipe milion 250. Akichukua kwa mkopo wa miaka mitano analazimika si juu ya milion 15 kwa mwezi.
Ili uione faida hapo lazima uliweka basi kwenye ruti ndedu ambalo nauli ni kubwa na hata mahesabu ya siku yasipungue900k. Sasa kwa mwezi akisema afanye kwa muda wa siku28 na akija toa gharama ya mkopo anaweza baki na hata milion kadhaa baada ya mkopo. Kumbuka hata wakati wa kupiga mahesabu ya kodi gharama halisi ya mkopo itakuwa inaonekana hivyo kupunguza maumivu ya tra.
Ukiangalia biaashara zote za usafirishaji wa vyombo vyote ni mwendo wa mikopo maana havitabiriki.kwahiyo unapochukua mkopo unatawanya maumivu hasa inapotokea hasara ambayo hailipik.
mfano unanunua gar cash kwa milion400 ukiweka bima kama 600. Baada ya week linagongana au kuungua. Hasara kubwa.
Ila matajiri wetu wengi ni kuigana. Huduma zero na ndo maana mpaka sasa pamoja na kuwa na bei elekezi hakuna ambaye ashafikia ile maximum cap.
Mfano dar-mwanza semi luxury bei elekezi ni 61000 lakin karibia wote ni 40000 hasara ya 20000. Sababu huduma ni za kuigana. Mtu ana mabasi karibia 20. Yaani mtaji wa 400mil*20=8bilion ila anashindwa kulipia labda milion tano kwa mwez ili ajitngaze redion au anashindwa kuwa na mfumo wa mzur wa kukata ticket anabaki tegemea wapiga debe matokeo yake kwenye 40 anabaki na30 bado mafuta,dereva, ufundi na kadhalika.
biashara ya mabasi inalipa sana tena sana kinachohitajika unapoanza ujitoe kikwekweli. Utoe huduma za uhakika uajiri watu profeshino na kuachan na masuala ya kujaza ndugu, ununue vipuri orijino.
Wekeza kwenye huduma nzuri.mteja asafiri kama mfalme, hapa kwenye huduma zikiwa nzuri hata kama ukiweka nauli ya 85000 dar mwanza utajaza watu, kinachoharibu ni huduma.
Kama unaweza funga ac. Ya basi kwa milion kumi unashindwaje kufunga mobile setelite dish kwa hiyo gharama hiyo ukaweka watu wakaenda wanacheck uefa kwa gari hilo hilo.
asante ndugu mimi naipenda sana hii kazi ya magar ishu sasa jinsi ya kufika juu mtihani, nataman ningekupata kampuni ambayo inachechemea kama champion express dodoma tuyajenge ila sasa hawatuoni
katangaza anauza?
halafu hawajui tu zile electronics si rahisi kuibiwa kizembe hela yakoKuna basi moja la iringa la kawaida sana ila ticket ni electronic kiasi kwamba ni ngumu sana kupigwa na wafanyakazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
yeye ndo kanunuakatangaza anauza?