Mabasi kama ya Dar Express yanauzwaje?

Mabasi kama ya Dar Express yanauzwaje?

Umeongea vema sana.
Hapo anapata faida mwendelezo tu. Kinachoafanyika hapo alipa asilimia 30. Hizo nyingine zinazobakia analipa kwa installment, anacholazimika kulipa hapo ni bima kubwa tu. Gari inaendelea kufanyiwa service na scania wenyewe. Badala ya kutoma 400mil kununua bas la kichina yeye anachukua mkopo labda tuseme alipe milion 250. Akichukua kwa mkopo wa miaka mitano analazimika si juu ya milion 15 kwa mwezi.
Ili uione faida hapo lazima uliweka basi kwenye ruti ndedu ambalo nauli ni kubwa na hata mahesabu ya siku yasipungue900k. Sasa kwa mwezi akisema afanye kwa muda wa siku28 na akija toa gharama ya mkopo anaweza baki na hata milion kadhaa baada ya mkopo. Kumbuka hata wakati wa kupiga mahesabu ya kodi gharama halisi ya mkopo itakuwa inaonekana hivyo kupunguza maumivu ya tra.
Ukiangalia biaashara zote za usafirishaji wa vyombo vyote ni mwendo wa mikopo maana havitabiriki.kwahiyo unapochukua mkopo unatawanya maumivu hasa inapotokea hasara ambayo hailipik.
mfano unanunua gar cash kwa milion400 ukiweka bima kama 600. Baada ya week linagongana au kuungua. Hasara kubwa.
Ila matajiri wetu wengi ni kuigana. Huduma zero na ndo maana mpaka sasa pamoja na kuwa na bei elekezi hakuna ambaye ashafikia ile maximum cap.
Mfano dar-mwanza semi luxury bei elekezi ni 61000 lakin karibia wote ni 40000 hasara ya 20000. Sababu huduma ni za kuigana. Mtu ana mabasi karibia 20. Yaani mtaji wa 400mil*20=8bilion ila anashindwa kulipia labda milion tano kwa mwez ili ajitngaze redion au anashindwa kuwa na mfumo wa mzur wa kukata ticket anabaki tegemea wapiga debe matokeo yake kwenye 40 anabaki na30 bado mafuta,dereva, ufundi na kadhalika.
biashara ya mabasi inalipa sana tena sana kinachohitajika unapoanza ujitoe kikwekweli. Utoe huduma za uhakika uajiri watu profeshino na kuachan na masuala ya kujaza ndugu, ununue vipuri orijino.
Wekeza kwenye huduma nzuri.mteja asafiri kama mfalme, hapa kwenye huduma zikiwa nzuri hata kama ukiweka nauli ya 85000 dar mwanza utajaza watu, kinachoharibu ni huduma.
Kama unaweza funga ac. Ya basi kwa milion kumi unashindwaje kufunga mobile setelite dish kwa hiyo gharama hiyo ukaweka watu wakaenda wanacheck uefa kwa gari hilo hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
y


yap kiukweli mtu kama kisesa kushusha bei inastaajabisha maana tayari anajina. Nakumbuka miaka ya nyuma allys sport tulikuwa tunalipa nauli 60000 dar mwanza na kipindi hicho karibia mafuta, vipur ha posho zilikuwa kidogo. Leo hii 40000 mafuta juu kila kitu juu halafu tunasema biashara ngumu.
Hivi arusha dar mtu analipa karibia 32000 na kila siku kilimanjoro exp anatoa gari zaid ya kumi na dar mwanza ambako ni km 1200 na kuna tofauti ya karibia km 600 eti unalipa 40000.
Dar lux kipindi cha abiria wengi anatoa basi 3 dar Mwanza nauli 45 kwa 55. Pia zuber Na Kisesa atapeleka basi 3 nauli 40......wakat zuberi Na Kisesa ana jina tangu enzi za shimo Mza ddma.
Inaonekana jamaa hajui kutumia umaarufu wake
 
Hapo anapata faida mwendelezo tu. Kinachoafanyika hapo alipa asilimia 30. Hizo nyingine zinazobakia analipa kwa installment, anacholazimika kulipa hapo ni bima kubwa tu. Gari inaendelea kufanyiwa service na scania wenyewe. Badala ya kutoma 400mil kununua bas la kichina yeye anachukua mkopo labda tuseme alipe milion 250. Akichukua kwa mkopo wa miaka mitano analazimika si juu ya milion 15 kwa mwezi.
Ili uione faida hapo lazima uliweka basi kwenye ruti ndedu ambalo nauli ni kubwa na hata mahesabu ya siku yasipungue900k. Sasa kwa mwezi akisema afanye kwa muda wa siku28 na akija toa gharama ya mkopo anaweza baki na hata milion kadhaa baada ya mkopo. Kumbuka hata wakati wa kupiga mahesabu ya kodi gharama halisi ya mkopo itakuwa inaonekana hivyo kupunguza maumivu ya tra.
Ukiangalia biaashara zote za usafirishaji wa vyombo vyote ni mwendo wa mikopo maana havitabiriki.kwahiyo unapochukua mkopo unatawanya maumivu hasa inapotokea hasara ambayo hailipik.
mfano unanunua gar cash kwa milion400 ukiweka bima kama 600. Baada ya week linagongana au kuungua. Hasara kubwa.
Ila matajiri wetu wengi ni kuigana. Huduma zero na ndo maana mpaka sasa pamoja na kuwa na bei elekezi hakuna ambaye ashafikia ile maximum cap.
Mfano dar-mwanza semi luxury bei elekezi ni 61000 lakin karibia wote ni 40000 hasara ya 20000. Sababu huduma ni za kuigana. Mtu ana mabasi karibia 20. Yaani mtaji wa 400mil*20=8bilion ila anashindwa kulipia labda milion tano kwa mwez ili ajitngaze redion au anashindwa kuwa na mfumo wa mzur wa kukata ticket anabaki tegemea wapiga debe matokeo yake kwenye 40 anabaki na30 bado mafuta,dereva, ufundi na kadhalika.
biashara ya mabasi inalipa sana tena sana kinachohitajika unapoanza ujitoe kikwekweli. Utoe huduma za uhakika uajiri watu profeshino na kuachan na masuala ya kujaza ndugu, ununue vipuri orijino.
Wekeza kwenye huduma nzuri.mteja asafiri kama mfalme, hapa kwenye huduma zikiwa nzuri hata kama ukiweka nauli ya 85000 dar mwanza utajaza watu, kinachoharibu ni huduma.
Kama unaweza funga ac. Ya basi kwa milion kumi unashindwaje kufunga mobile setelite dish kwa hiyo gharama hiyo ukaweka watu wakaenda wanacheck uefa kwa gari hilo hilo.
Duuh...! Umetiririka mkuu. Umeeleweka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo anapata faida mwendelezo tu. Kinachoafanyika hapo alipa asilimia 30. Hizo nyingine zinazobakia analipa kwa installment, anacholazimika kulipa hapo ni bima kubwa tu. Gari inaendelea kufanyiwa service na scania wenyewe. Badala ya kutoma 400mil kununua bas la kichina yeye anachukua mkopo labda tuseme alipe milion 250. Akichukua kwa mkopo wa miaka mitano analazimika si juu ya milion 15 kwa mwezi.
Ili uione faida hapo lazima uliweka basi kwenye ruti ndedu ambalo nauli ni kubwa na hata mahesabu ya siku yasipungue900k. Sasa kwa mwezi akisema afanye kwa muda wa siku28 na akija toa gharama ya mkopo anaweza baki na hata milion kadhaa baada ya mkopo. Kumbuka hata wakati wa kupiga mahesabu ya kodi gharama halisi ya mkopo itakuwa inaonekana hivyo kupunguza maumivu ya tra.
Ukiangalia biaashara zote za usafirishaji wa vyombo vyote ni mwendo wa mikopo maana havitabiriki.kwahiyo unapochukua mkopo unatawanya maumivu hasa inapotokea hasara ambayo hailipik.
mfano unanunua gar cash kwa milion400 ukiweka bima kama 600. Baada ya week linagongana au kuungua. Hasara kubwa.
Ila matajiri wetu wengi ni kuigana. Huduma zero na ndo maana mpaka sasa pamoja na kuwa na bei elekezi hakuna ambaye ashafikia ile maximum cap.
Mfano dar-mwanza semi luxury bei elekezi ni 61000 lakin karibia wote ni 40000 hasara ya 20000. Sababu huduma ni za kuigana. Mtu ana mabasi karibia 20. Yaani mtaji wa 400mil*20=8bilion ila anashindwa kulipia labda milion tano kwa mwez ili ajitngaze redion au anashindwa kuwa na mfumo wa mzur wa kukata ticket anabaki tegemea wapiga debe matokeo yake kwenye 40 anabaki na30 bado mafuta,dereva, ufundi na kadhalika.
biashara ya mabasi inalipa sana tena sana kinachohitajika unapoanza ujitoe kikwekweli. Utoe huduma za uhakika uajiri watu profeshino na kuachan na masuala ya kujaza ndugu, ununue vipuri orijino.
Wekeza kwenye huduma nzuri.mteja asafiri kama mfalme, hapa kwenye huduma zikiwa nzuri hata kama ukiweka nauli ya 85000 dar mwanza utajaza watu, kinachoharibu ni huduma.
Kama unaweza funga ac. Ya basi kwa milion kumi unashindwaje kufunga mobile setelite dish kwa hiyo gharama hiyo ukaweka watu wakaenda wanacheck uefa kwa gari hilo hilo.
Napataje mkopo wa hayo madude. Nianze na ma2. Tunduma-Dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo anapata faida mwendelezo tu. Kinachoafanyika hapo alipa asilimia 30. Hizo nyingine zinazobakia analipa kwa installment, anacholazimika kulipa hapo ni bima kubwa tu. Gari inaendelea kufanyiwa service na scania wenyewe. Badala ya kutoma 400mil kununua bas la kichina yeye anachukua mkopo labda tuseme alipe milion 250. Akichukua kwa mkopo wa miaka mitano analazimika si juu ya milion 15 kwa mwezi.
Ili uione faida hapo lazima uliweka basi kwenye ruti ndedu ambalo nauli ni kubwa na hata mahesabu ya siku yasipungue900k. Sasa kwa mwezi akisema afanye kwa muda wa siku28 na akija toa gharama ya mkopo anaweza baki na hata milion kadhaa baada ya mkopo. Kumbuka hata wakati wa kupiga mahesabu ya kodi gharama halisi ya mkopo itakuwa inaonekana hivyo kupunguza maumivu ya tra.
Ukiangalia biaashara zote za usafirishaji wa vyombo vyote ni mwendo wa mikopo maana havitabiriki.kwahiyo unapochukua mkopo unatawanya maumivu hasa inapotokea hasara ambayo hailipik.
mfano unanunua gar cash kwa milion400 ukiweka bima kama 600. Baada ya week linagongana au kuungua. Hasara kubwa.
Ila matajiri wetu wengi ni kuigana. Huduma zero na ndo maana mpaka sasa pamoja na kuwa na bei elekezi hakuna ambaye ashafikia ile maximum cap.
Mfano dar-mwanza semi luxury bei elekezi ni 61000 lakin karibia wote ni 40000 hasara ya 20000. Sababu huduma ni za kuigana. Mtu ana mabasi karibia 20. Yaani mtaji wa 400mil*20=8bilion ila anashindwa kulipia labda milion tano kwa mwez ili ajitngaze redion au anashindwa kuwa na mfumo wa mzur wa kukata ticket anabaki tegemea wapiga debe matokeo yake kwenye 40 anabaki na30 bado mafuta,dereva, ufundi na kadhalika.
biashara ya mabasi inalipa sana tena sana kinachohitajika unapoanza ujitoe kikwekweli. Utoe huduma za uhakika uajiri watu profeshino na kuachan na masuala ya kujaza ndugu, ununue vipuri orijino.
Wekeza kwenye huduma nzuri.mteja asafiri kama mfalme, hapa kwenye huduma zikiwa nzuri hata kama ukiweka nauli ya 85000 dar mwanza utajaza watu, kinachoharibu ni huduma.
Kama unaweza funga ac. Ya basi kwa milion kumi unashindwaje kufunga mobile setelite dish kwa hiyo gharama hiyo ukaweka watu wakaenda wanacheck uefa kwa gari hilo hilo.
Jamaa inaonekana ukipewa ofisi kampun ya mabas kama business development manager..... Spat picha kampun itatisha.....kongole
 
Niliona bas moja ya kibo safari(confidential) scania .imesimama barabarani kwa mil 140 tu....siku hizi unanunua chases body unachonga..
chassis iko usd 95000 mpaka 120000 darcoach anakuchongea vyote na chassis mpya kwa usd 215000 ila njia nzuri kama unaanza unaweza tumia mfumo wa scania finance ambapo scania wanakuuzia basi zima wewe unapaki ulipa kwa installment kwa hiyo badala ya kununua basi moja kwa cash hiyo
Dar lux kipindi cha abiria wengi anatoa basi 3 dar Mwanza nauli 45 kwa 55. Pia zuber Na Kisesa atapeleka basi 3 nauli 40......wakat zuberi Na Kisesa ana jina tangu enzi za shimo Mza ddma.
Inaonekana jamaa hajui kutumia umaarufu wake
Darlux kinachomsaidia anajitahid sana kwenye elimu, kama tunakumbuka darlux aliwahi peleka wafanyakazi wake china wakajifunze kuhusu utengenezaji wa magari.
Lakin kisesa nadhan anafanya biashara kwa mazoea, mtu kama kisesa ukimwambia aajiri meneja wakuweza kuindesha kampuni kisasa ataona unataka muibia, lakin ukweli kwa nafasi aliyonayo alitakiwa awe ameteka mwanza ipasavyo yaan kila mtu anapojaribu kuvamia soko anachemsha. Matajiri wengi wanadhani kuendesha kazi kifamilia ndo mafanikio lakini anajikuta miaka nenda rudi uko palepale. Darlux asipobadilika naiona kampuni baada miaka kadhaa akiwa mbali sana na kuna watu watafunga kabisa kumpisha na namuona kama atakuja leta mabasi tishio sana
 
Jamaa inaonekana ukipewa ofisi kampun ya mabas kama business development manager..... Spat picha kampun itatisha.....kongole
haha mimi wanipe kampuni iliyo na mangarangara tu bosi anipe muda wa mwaka ila bosi atarget faida tu. Masuala ya kupambana na mikopo na ununuzi wa magari kuajiri kuuza screpa au gari mbovu ila zionekane kwenye mahesabu ziwe zangu. Halafu kusiwe na yale huyu ni mtoto wa mjomba muajiri sitaki
 
Kwenye mambo ya kodi kuchukua mkopo na kutumia fedha zako ni sawa tu. Kwenye mkopo TRA inakubali gharama za mkopo na makato ya faida ya benki (interest expense). Baada ya hapo kama kuna faida yako umepata kwa mwaka unakatwa kodi kama kawaida. Makato ya mkopo sio gharama za biashara kwa hiyo hayaingii kwenye ukokotoaji wa faida ya biashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo anapata faida mwendelezo tu. Kinachoafanyika hapo alipa asilimia 30. Hizo nyingine zinazobakia analipa kwa installment, anacholazimika kulipa hapo ni bima kubwa tu. Gari inaendelea kufanyiwa service na scania wenyewe. Badala ya kutoma 400mil kununua bas la kichina yeye anachukua mkopo labda tuseme alipe milion 250. Akichukua kwa mkopo wa miaka mitano analazimika si juu ya milion 15 kwa mwezi.
Ili uione faida hapo lazima uliweka basi kwenye ruti ndedu ambalo nauli ni kubwa na hata mahesabu ya siku yasipungue900k. Sasa kwa mwezi akisema afanye kwa muda wa siku28 na akija toa gharama ya mkopo anaweza baki na hata milion kadhaa baada ya mkopo. Kumbuka hata wakati wa kupiga mahesabu ya kodi gharama halisi ya mkopo itakuwa inaonekana hivyo kupunguza maumivu ya tra.
Ukiangalia biaashara zote za usafirishaji wa vyombo vyote ni mwendo wa mikopo maana havitabiriki.kwahiyo unapochukua mkopo unatawanya maumivu hasa inapotokea hasara ambayo hailipik.
mfano unanunua gar cash kwa milion400 ukiweka bima kama 600. Baada ya week linagongana au kuungua. Hasara kubwa.
Ila matajiri wetu wengi ni kuigana. Huduma zero na ndo maana mpaka sasa pamoja na kuwa na bei elekezi hakuna ambaye ashafikia ile maximum cap.
Mfano dar-mwanza semi luxury bei elekezi ni 61000 lakin karibia wote ni 40000 hasara ya 20000. Sababu huduma ni za kuigana. Mtu ana mabasi karibia 20. Yaani mtaji wa 400mil*20=8bilion ila anashindwa kulipia labda milion tano kwa mwez ili ajitngaze redion au anashindwa kuwa na mfumo wa mzur wa kukata ticket anabaki tegemea wapiga debe matokeo yake kwenye 40 anabaki na30 bado mafuta,dereva, ufundi na kadhalika.
biashara ya mabasi inalipa sana tena sana kinachohitajika unapoanza ujitoe kikwekweli. Utoe huduma za uhakika uajiri watu profeshino na kuachan na masuala ya kujaza ndugu, ununue vipuri orijino.
Wekeza kwenye huduma nzuri.mteja asafiri kama mfalme, hapa kwenye huduma zikiwa nzuri hata kama ukiweka nauli ya 85000 dar mwanza utajaza watu, kinachoharibu ni huduma.
Kama unaweza funga ac. Ya basi kwa milion kumi unashindwaje kufunga mobile setelite dish kwa hiyo gharama hiyo ukaweka watu wakaenda wanacheck uefa kwa gari hilo hilo.
Kuna rafiki yangu Yuko mbioni kuanza route ya dar-mbeya
Ungemfaa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye mambo ya kodi kuchukua mkopo na kutumia fedha zako ni sawa tu. Kwenye mkopo TRA inakubali gharama za mkopo na makato ya faida ya benki (interest expense). Baada ya hapo kama kuna faida yako umepata kwa mwaka unakatwa kodi kama kawaida. Makato ya mkopo sio gharama za biashara kwa hiyo hayaingii kwenye ukokotoaji wa faida ya biashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
ndio ukweli ni kuwa mkopo si gharama na sio kuwa inapunguza kodi point yangu ilikuwa, kama ukitumia cash kwenye kununua kitu kama gari ile pesa ambayo ulitumia kulipa cash ingeweza tumika kwenye kulipa deni la m
Kwenye mambo ya kodi kuchukua mkopo na kutumia fedha zako ni sawa tu. Kwenye mkopo TRA inakubali gharama za mkopo na makato ya faida ya benki (interest expense). Baada ya hapo kama kuna faida yako umepata kwa mwaka unakatwa kodi kama kawaida. Makato ya mkopo sio gharama za biashara kwa hiyo hayaingii kwenye ukokotoaji wa faida ya biashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok point yangu ilikuwa interest ya mikopo ndo haitakatwa. nashukuru kwa kuongezea nyama
Sent using Jamii Forums mobile app[
 
Back
Top Bottom