Mabasi kama ya Dar Express yanauzwaje?

Mabasi kama ya Dar Express yanauzwaje?

Used in good condition hiyo ina miezi kama 6 hivi sema ni left hand!
coach-busSCANIA-K410---1539818544101807749_big--18101802222294415300.jpeg
coach-busSCANIA-K410---1539818543913167745_big--18101802222294415300.jpeg
coach-busSCANIA-K410---1539818543782397309_big--18101802222294415300.jpeg
coach-busSCANIA-K410---1539818543605943904_big--18101802222294415300.jpeg
coach-busSCANIA-K410---1539818543462492997_big--18101802222294415300.jpeg
coach-busSCANIA-K410---1539818543318464464_big--18101802222294415300.jpeg
coach-busSCANIA-K410---1539818543157384538_big--18101802222294415300.jpeg
coach-busSCANIA-K410---1539818542975941134_big--18101802222294415300.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • coach-busSCANIA-K410---1539818543462492997_big--18101802222294415300.jpeg
    coach-busSCANIA-K410---1539818543462492997_big--18101802222294415300.jpeg
    35.2 KB · Views: 24
  • coach-busSCANIA-K410---1539818543157384538_big--18101802222294415300.jpeg
    coach-busSCANIA-K410---1539818543157384538_big--18101802222294415300.jpeg
    43.2 KB · Views: 22
Napataje mkopo wa hayo madude. Nianze na ma2. Tunduma-Dar

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOT
Mhh ndugu sio kukopwa tu hawa watu wanapenda wasome kwanza mtiririko wako kwanza wa pesa kama unaruhusu lakini kama uko poa karibia makampuni mengi ya magari yanakopesha.
Mfano scania sijafuatilia kama kwetu inafanyika ila sehem kama south africa inafanyika sana wa aina tatu za mikopo
scania ambayo ni:
SCANIA FINANCIAL LEASE.
hapa unakuwa ni mmilikk wa gari unakuwa unalipa gharama ya kukodi gari muda mliokubaliana baada ya mda kuisha una option ya kununua au kurudisha .
FAIDA
Unalipia gharama ya kukodi tu.
Scania wanaendelea kulifanyia service gar lao kwa muda wote
gari kwenye masuala ya kimitaji litaendelea kuonekana kuongeza asset kuwa ni nyingi hivyo hata ukienda kukopa bank mtaji unasomeka vizuri ingawa hutaruhusiwa kukopea.
SCANIA LOAN AGREEMENT.
Gari linakuwa lako na unalitumia kukopa mkopo ambao utalipa kwa installment

Mengine sijui lakini nina uhakika ukiwa na mzunguko mzuri na mtaji anzilishi na hela ya kulipia bima kubwa makampuni mengi unapata mikopo
 
Route ndefu ndio lakini ina hela sana...
Siku hizi gari za dar-mbeya zinatembea some time hadi iringa hazija jaza abira,wateja wa hii route wanakimbilia zile gari maarufu/kampuni yenye jina au zenye nauli naafu kama marcopolo za abood ambazo zina delay sana so unakuta hawa wengine wanapakia chini ya bei elekezi then gari haijajaza hadi iringa hapo ni hasara tupu,mfano katagi ya mwanza - mbeya ilitoka mbeya hadi dom inabiria20 tu mwisho wakaamua iwe kama daladala wapakie wale wa njiani njiani yan manyoni-ikungi nk
Mbeya Tanga
Tund-moshi
Route ndefu Sana.lakini Sio mwanzo mbaya maana ndo anaanza

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom