Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 14,182
- 25,940
Wana jamvi ebu nielimisheni kuhusu mabango yalotawala barabarani kwa hapa dar yamejaa mno ya mh magufuli alafu wagombea wengine awapo.
Mabango yanalipiwa, hivyo labda vyama vingine havijalipia na kuweka mabango. Pia inawezekana kuna watu wanayatoa mabango ya vyama vingine usiku!