Jiji limependeza sasa ni Magufuli na kauli mbio Hapa kazi tu. Mabango yametapakaa kila kona matangazo ya voda tigo airtel tupa kule.
Najua hayo mabango ni ya kampuni binafsi na kodi hukusanywa na halmshauri husika sina shaka na hilo.
Ila CCM wajanja mmechukua mabango ya sehemu nyeti zote UKAWA sijui wataweka wapi mabango yake.
#Lowassa 2015
Hahahaha tayari ushataja Jina la lowasa.... 😂😂😂😂Acha lugha za jumla,mbona mie siimbi lowassa,wewe ndo unawachagulia lowassa mjini kote
Jiji limependeza sasa ni Magufuli na kauli mbio Hapa kazi tu. Mabango yametapakaa kila kona matangazo ya voda tigo airtel tupa kule.
Najua hayo mabango ni ya kampuni binafsi na kodi hukusanywa na halmshauri husika sina shaka na hilo.
Ila CCM wajanja mmechukua mabango ya sehemu nyeti zote UKAWA sijui wataweka wapi mabango yake.
#Lowassa 2015
Mkuu ni bidhaa gani bora unayoifahamu hapa Tanzania inayojitangaza kama anavyofanya magufuli sasa.Mimi ninavyofahamu kizuri huwa kinajiuza chenyeweWewe jidanganye tu!Matangazo muhimu sana!
Wadanganyika,malofa na wapumbavu wanalazimishwa wamkubali magufuli hata kama ni galasaJiji limependeza sasa ni Magufuli na kauli mbio Hapa kazi tu. Mabango yametapakaa kila kona matangazo ya voda tigo airtel tupa kule.
Najua hayo mabango ni ya kampuni binafsi na kodi hukusanywa na halmshauri husika sina shaka na hilo.
Ila CCM wajanja mmechukua mabango ya sehemu nyeti zote UKAWA sijui wataweka wapi mabango yake.
#Lowassa 2015
Mkuu inasikitisha sana.Hivi wanachama wa ccm mfano wajumbe wa nyumba kumi kumi nao huwa wanapelekwa kuchecki malaria Ulaya?Wakati wakifanya hivyo kuna vipimo kana MRI,T Scanner,hakuna muhimbili.Wagonjwa wananalala kitanda kimoja watu 3.
Dawa ni chagua UKAWA
mabango hayapigi kura
Nyie maku wakilutharen hamjui kutu.... matangazo muhim
Nyie maku wakilutharen hamjui kutu.... matangazo muhim
Mabango ya LOWASSA yapo mioyoni mwa Watanzania wapenda mabadiliko.
Jiji limependeza sasa ni Magufuli na kauli mbio Hapa kazi tu. Mabango yametapakaa kila kona matangazo ya voda tigo airtel tupa kule.
Najua hayo mabango ni ya kampuni binafsi na kodi hukusanywa na halmshauri husika sina shaka na hilo.
Ila CCM wajanja mmechukua mabango ya sehemu nyeti zote UKAWA sijui wataweka wapi mabango yake.
#Lowassa 2015