sam said:
Nilijua jambo kama hili linaweza kutokea. Lazima mkae na kujiuliza ni kwa nini watu wameanza kuongelea udini? Sababu kubwa ni kwamba wameshindwa kujua ni vigezo gani ametumia kuwateua aliowateua, je wale vijana pale foreign wengi wao wakiwa wa dini hiyo hiyo hawawezi kazi kama vipuri, mapuri jina lolote mnalomwita? Mimi sina matatizo sana na udini kwani watu wengi najua wana majina ya dini fulani ila siyo waumini wazuri wa dini hizo. Hata kama alitaka kuongeza idadi ya waislamu kwenye utumishi wa umma please wako wengi wenye uwezo siyo Adadi au Mapuri. Pia baada ya kusoma post zenu ilibidi nilichunguze baraza la mawaziri, nimegundua kwenye wizara muhimu (key) uwiano ni 1:6. Hebu chunguzeni nje, fedha, mipango, ulinzi, ndani, na usalama wa raia. Kama mtoa hoja mmoja alivyosema tuangalie utendani wao wa kazi, good, wengi wao hatuoni wanafanya nini. Watu wanakosa sababu zilizowaweka pale ndiyo maana wanaanza kuhoji na kubuni sababu nyingine.
Uteuzi wa Makamba ni usaliti kwa wananchi na kuendelea kujilinda, Makamba ni kiongozi wa serikali hawezi kuuliza swali lolote bungeni ni sawa na kujiuliza mwenyewe au waziri kumuuliza waziri mwenzake, nadhani lingekuwa jambo la busara kumteua mtu ambaye atawakilisha wananchi siyo serikali bungeni. Ila kutokana na mabadiliko yaliyotokea naona kuna mabadiliko anataka kufanya kwenye Chama, kuna mtu anataka amuingize kwenye nafasi ya mapuri ili aiandae nafasi ya EL, na Makamba nahisi amepewa ubunge kwa ajiri ya kazi za chama ndani ya bunge.
Mwamba ngoma huvutia kwake.
I am not defending Kikwete, but the truth of matter is that, all political appointments are based on personal relationship and loyalty. It is an added value if a political appointee is a technocrat and specialist of the field.
The only area that I believe we should have serious concerns is on Technocrats. Makatibu wakuu, wakurugenzi wa mikoa, wilaya, halmashauri, wizara and all sort of technical stuff that creates a structure and backbone of institution.
Waziri, Balozi, Mkuu wa Mkoa, Mbunge wa kuteuliwa could be anybody, as long as they side with the person that appointed them and spearhead the vision of Raisi.
He needs to have people who will work for his agenda in addition to Chama's agenda and country agenda.
Agenda ya Kikwete is his, not Tanzania, we have entrusted him by his visiion and Agenda, we do not have right to interfere. We can questions his moves as we should, and if we are not satisfied, there is a process to remove him and his administration from the trust we have handed him.
As of now, sitishiki na uteuzi wa kidini, my worry is efficiency and effectivenes.
If we were to lean on Udini, let ask ourselves who was running the country when we sold everything to wawekezaji and all shitty contracts and agreements we have signed for the next 20 years.
It was Ben, Emmanuel (ole Naiko), John (Rubambe) Andrew, Mary and Frederick!