"Mabala wa mabalaa" Ni Nani?

Kumbe ndiye aliyeandika Mabala the farmer!!
Pia ni mwandishi wa makala katika gazeti la Mwananchi Jumapili...??

Pia ni malenga hodari mno.
Marehemu Prof. Mwaikusa alikuwa mwanafunzi wake.

Anapatikana FaceBook kwa jina la Richard Mabala
 
nilianza kusoma article za richard siku nyingi akiwa na gazeti kama sikosei la mipasho ,hili gazeti lilifungiwa kutokana na mipasho yake ni mwandishi mahiri mzungu nikawa nimepoteza machoni hadi nilipo muona kwenye gazeti la mwananchi ni mwandishi nguli pamoja na henri mdimu walikuwa pamoja kwenye gazeti moja hivi.suala la uraia wake namuelewa kama ni mtanzania mwenzetu .binafsi napenda makala zake na jinsi anavyowasilisha ujumbe kwa kipenzi chake hidaya wa uzitoni ,ingawaje mara nyingine hidaya huwa anampa misukosuko kwa umahiri kabsa hidaya hutulia .na kumuandalia mzee wa uzitoni juice
 
Anajulikana kama Mr. Squint katika makala za kiingereza hasa katika The Citizen.
 
...Hili sina uhakika nalo nitaomba mwenye uhakika nalo atujuze. Mwaka huu mwanzoni ama mwaka jana mwishoni nilipata taarifa za kusikitisha kuwa alikuwa amefiwa na Mkewe. Mwenye uhakika, tafadhali...
 
Jina lake halisi ni Richard Satewite, Lakini alinogewa NA nswalu NA matobolwa ya Tabora akaamua kuachana NA Satewite, NA kuchukua Mabala. Alifundisha Chang'ombe Chuo cha Ualimu, ameifanya UNICEF etc
Safii
 
Hakuzaliwa bongo,alizaliwa uingereza ila sasa ni mtanzania baada ya kubadiki uraia wake

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Umenena vyema mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…