Mabadiliko yamefungwa kwenye ubaya

Mabadiliko yamefungwa kwenye ubaya

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Kabla sijaja public na kudeclare nia yangu ya kutaka kuwa Rais wa Tanzania ilinibidi kwa jasho na damu nijufunze uongozi ni nini??? unfortunately elimu haifundishi masomo ya uongozi kwa hiyo ilinibidi binafsi nijufunze kwa nguvu zote uongozi ni nini

Na moja ya mambo niliyojifunza ni hili "mabadiliko yamefungwa kwemye ubaya"
Kwanini iko hivi
  1. Walioko kwenye mfumo wananufaika nao hawawezi kukuachia kirahisi
  2. Hata wakikuachia watahakikisha unawalinda haya tunayaita mabadiliko danganya toto
  3. Ndo maana mabadiliko ya kweli yamefungwa kwenye ubaya na ni magumu sana

Ngoja nikupe mifano ifuatayo utanielewa vizuri navyosema mabadiliko yamefungwa kwenye ubaya
  1. Kuanzia miaka ya 1980's Tanzania ilipitia wakati mgumu sana wa kiuchumi watu wengi sana wanalaumu vita ya kagera ila wajuzi wa mambo tunafahamu kabisa nature ilimkataa Nyerere kwa kutengeneza mazingira ya vita na kuiacha nchi kwenye hali mbaya ya kiuchumi ili Nyerere aondoke, na ubaya wa hali ngumu sana ya uchumi miaka 1980's ulikuwa na lengo la kumtoa Nyerere madarakani sababu kila alichofanya Nyerere ili kutuliza hali alikuwa anafeli baadae alikubali akaondoka madarakani peaceful ukiangalia hii scenario utaona ulianza ubaya ambao ni vita ya kagera ukasababisha hali ngumu ya kiuchumi ndo yakaja mabadiliko ya uongozi akaja Mwinyi
  2. Tokea miaka ya nyuma kipindi cha Nyerere kulikuwa na mpango wa kuamia dodoma ila kuanzia Nyerere mpaka kikwete marais wote walikuwa wanapiga danadana, niweke wazi mimi magufuli nilikuwa simkubali kwenye mambo mengi ila ile bold move ya kuamisha serikali dodoma bila compromise ule ulikuwa uamuzi bora sana ni moja ya legacy zitakumbukwa mda mrefu sana, sababu watu waliupinga lakin leo hii wote tunafurahia serikali imehamia dodoma lakin ulianza kwanza ubaya ndo yakaja mabadiliko ila angesema afanye kwa kubembeleza au compromise angefeli kama wenzake waliomtangulia.
  3. Njoo kwenye tukio la bashar Al assad kuondoka madarakani mwaka huu, kumbuka watu walipigana na serikali ya bashar Al assad tokea 2011 ila vita vya Ukraine na tukio la October 7 2023 shambulio la hamas kwa Israel ilikuwa ndo njia ya kumuondoa bashar all assad, kwanza urusi aliwekeza focus yake Ukraine na akapunguza kumlinda al assad kumbuka tokea 2011 assad ana-survive kwa msaad wa Russia na Iran, nature ikaona haitoshi hamas wakashambulia Israel October 7, baadae Hizbollah aliyekuwa anamlinda assad akawa bize kupigana na Israel, na baadae iran akajoin matokeo yake Al assad hanamlinzi tena, wale waasi wakatonywa Al assad hanaulinzi ikawa raihis kumuondoa. Ila ukiangali scenario kuna ubaya wa vita ya Ukraine na shambulio la October 7 2023 moja ya mlengwa alikuwa ni al assad aondoke madarakani japokuwa hivyo vita vina matokeo mengi zaidi ya kumuondoa bashar ala assad madarakani na kwa kutunza kumbukumbu wale waasi wametumia miaka 14 kumuondoa al assad
  4. Baada ya kufa Karl max miaka ya 1890's kulianza vuguvugu au movement za underground za kuwezesha communism kushika hatamu., sababu kubwa ni hali ya maisha ilikuwa ngumu sana ulaya. Nchini urusi kuna mtu anaitwa Vladimir Lenin alianza underground movement baadae anapata wasaidizi wake wakina stalin lengo ni ku-implement kile alichokisema Karl marx, stalin alikuwa ni jasiri na hakuna jambo lilikuwa linamshinda tabia hii yake ilikuja kuonekana zaidi alipokuwa Rais wa urusi- stalin alikuwa anafungwa na kuachiwa sababu alikuwa mtata sana baadae nature ikafanya yake vita vya kwanza vya dunia vikazuka lengo ni kuundoa utawala wa urusi uliokuwepo kipindi kile na kuinstall wakina Vladimir Lenin lakin ilibidi utawala uliopo upigane vita ambayo ni ubaya ili uweze kuwa dhaifu na kweli mwak 1917 mwanzon yakafanyika mapunduzi ila baadae October 1917 Vladimir Lenin na stalini na wenzake wachakuchua nchi kwa mapunduzi ila wamewezaje ni baada ya ubaya wa vita vya kwanza vya dunia kutokea ndo mabadiliko yakatokea urusi
  5. Njoo kwenye taifa la Israel- inchi ya Israel inaanzishwa kwa vurugu kubwa sana nahisi Korea kusini na Israel ni nchi zilzoanishwa kwa vita na uchungu mkubwa sana. Turudi kwenye mada miaka ya 1800's waisrael walianza kuchukiwa sana ulaya miaka hiyo, zikaanza movement za kutafuta eneo litakalokuwa taifa la Israel yalipendekezwa maeneo mengi ikiwemo uganda ila baadae walisema wanataka eneo la asili ambalo ni palestine- ila mwanzon hawakufanikiwa ila harakati bado zilikuwepo- nchini austria anazaliwa kijana mtukutu anaitwa Hitler ambaye baba yake alikuwa anamchapa sana na kumpiga ila alikuwa hasikii ni yule mtoto unaweza mpiga mpaka kumchoma moto kesho anarudia kitu kile kile ulichomchapia jana na kumchoma moto. Hitler alikua jeuri, mtukutu na mkorofi na alijua njia za kufika kwenye madaraka alipenya penya kuja kushtuka ni chancelor wa ujeruman ilihali yeye ni mzaliwa wa Austria twende vinakuja vita vya pili vya dunia anakuja kuuwa waisrael million 6 lakin nyuma yake naamini hata Hitler alikuwa hajui alikuwa anaanda kuundwa kwa taifa la israel ambalo mwanzoni lilifeli, vita vya pili vya dunia vinaisha uingereza kwa haraka sana akaenda akigawa levant taifa mojawapo lililozaliwa ni Israel kumbuka mwanzoni ni ubaya wa wayahudi kuchukiwa ulaya nzima, ubaya wa pili ulianza kupitia vita vya pili vya dunia, na ubaya wa tatu mauaji ya wayahudi milion 6 ukisoma huo mtiririko unaona mabadiliko yalianzia kwenye ubaya.
Nature ikikutaa itakutengenezea scenario ambayo sio rahisi kujiua kuja kushtuka is too late unatakiwa uondoke kwa lazima

Yako mengi sana lakin hayo ni baadhi mambo ya msingi ya msingi ya kufahamu

Mambo muhimu ya kuzingatia
  • Mabadiliko yamefungwa kwenye ubaya
  • Sio kila ubaya unamabadiliko ndani yake
  • Huitaji kutumia nguvu kubwa kupush ubaya wa mabadiliko unakujaga mwenyewe na mnabaki mnashangaa tumefikaje hapa kwenye huu ubaya
Navyoona baadhi ya watu wanapigania no reform no election na recently ameibuka polepole sio kwamba nawapinga ila walichoanzisha na kukipigania ni kitu kigumu sana, ni maji marefu inaweza chukua hata miaka 10 au 15 ndo wafanikiwe je wako tayari??? Hizo reform hazitakuja kirahisi kwa watu kwa haya mazingira wananufaika sana.

Kama reform zikija kwa njia hizi wanazotumia sasa kabla ya uchaguzi basi ntakuwa nimejifunza jambo jipya ambalo nilikuwa silijui huko nyuma sababu napenda kujifunza mambo mapya

Nikama mimi nilivyoanza harakati zangu za kuwa Rais wa Tanzania ni ngumu na chungu sana haitakuwa rahisi hata kidogo nimefahamu haya kabla hata ya kutokuanza hii movement mimi sahivi nina miaka 33 sitashangaa hata nikifanisha lengo la kuwa rais wa Tanzania nikiwa na miaka 50 au hata 60 sitashangaa

Mfano sisi wakristo tunajua Mungu alimtokea Musa nakumtuma nenda kawatoe wana-waisrael ila musa alifanya attempt tisa na alifeli zote ya kumi ndo akafanikiwa
Unasema nini ilibidi Mandela akae miaka 27 jela ndo makaburu waachie madaraka haikuwa kazi rahisi

 
Mambo muhimu ya kuzingatia
  1. Mabadiliko yamefungwa kwenye ubaya
  2. Sio kila ubaya unamabadiliko ndani yake
  3. Huitaji kutumia nguvu kubwa kupush ubaya wa mabadiliko unakujaga wenyewe na mnabaki mnashangaa tumefikaje hapa kwenye huu ubaya
 
Kabla sijaja public na kudeclare nia yangu ya kutaka kuwa Rais wa Tanzania ilinibidi kwa jasho na damu nijufunze uongozi ni nini??? unfortunately elimu haifundishi masomo ya uongozi kwa ilinibidi binafsi nijufunze kwa nguvu zote

Na moja ya mambo niliyojifunza ni hili "mabadiliko yamefungwa kwemye ubaya"

Ngoja nikupe mifano ifuatayo utanielewa vizuri navyosema mabadiliko yamefungwa kwenye ubaya
  1. Kuanzia miaka ya 1980 Tanzania ilipitia wakati mgumu sana wa kiuchumi watu wengi sana wanalaumu vita ya kagera ila wajuzi wa mambo tunafahamu kabisa nature ilimkataa Nyerere kwa kutengeneza mazingira ya vita na kuiacha nchi kwenye hali mbaya ya kiuchumi ili Nyerere aondoke, na ubaya wa hali ngumu sana ya uchumi miaka 1980's ulikuwa na lengo la kumtoa Nyerere madarakani baadae alikubali akaondoka madarakani peaceful ukiangalia hii scenario utaona ulianza ubaya ambao ni hali ngumu ya kiuchumi ndo yakaja mabadiliko
  2. Tokea wakati wa Nyerere kulikuwa na mpango wa kuamia dodoma ila kuanzia Nyerere mpaka kikwete marais wote walikuwa wanapiga danadana, niweke mimi magufuli nilikuwa simkubali kwenye mambo mengi ila ile bold move ya kuamisha serikali dodoma bila compromise ule ulikuwa uamuzi wa kiume watu waliupinga lakin leo hii wote tunafurahia serikali imehamia dodoma lakin ulianza kwanza ubaya ndo yakaja mabadilik
  3. Njoo kwenye tukio la bashar Al assad kuondoka madarakani mwaka huu, kumbuka watu walipigana na serikali ya bashar Al assad tokea 2011 ila vita vya Ukraine na tukio la October 7 2023 shambulio la hamas kwa Israel ilikuwa ndo njia ya kumuondoa bashar all assad, kwanza urusi aliwekeza focus yake Ukraine na akapunguza kumlinda al assad kumbuka tokea 2011 assad ana-survive kwa msaad wa Russia na Iran, nature ikaona haitoshi hamas wakashambulia Israel October 7, baadae Hizbollah aliyekuwa anamlinda assad akawa bize na baadae iran akajoin matokeo Al assad anamlinzi tena, wale waasi wakatonywa Al assad anaulinzi ikawa raihis kumuondoa ila ukiangali scenario kuna ubaya wa vita ya Ukraine na shambulio la October 7 2023 moja ya mlengwa alikuwa ni al assad aondoke madarakani
  4. Baada ya kufa Karl max miaka ya 1890's kulianza vuguvugu au movement za underground za kuwezesha communism aliyoipropose Karl max kwa sababu hali ya maisha ilikuwa ngumu sana ulaya. Nchini urusi kuna mtu anaitwa Vladimir Lenin anaanza underground movement baadae anapata wasaidizi wakina stalin lengo ni kuki-implement kile alichokisema Karl marx, stalin alikuwa ni jasiri na hakuna jambo lilikuwa linamshinda tabia hii yake ilikuja kuonekana zaidi alipokuwa Rais- wote, stalin alikuwa anafungwa na kuachiwa sababu alikuwa mtata baadae nature ikafanya yake vita vya kwanza vya dunia vikazuka lengo ni kuundoa utawala la urusi na kuinstall wakina Vladimir Lenin lakin ilibidi utawala uliopo upigane vita ambayo ni ubaya ili uweze kuwa dhaifu na kweli mwak 1917 yakafanyika mapunduzi ila baadae October 1917 Vladimir Lenin na stalini na wenzake wachakuchua nchi ila wamewezaje baada ya ubaya wa vita vya kwanza vya dunia kutokea ndo mabadiliko yakatokea urusi
  5. Njoo kwenye taifa la Israel- inchi ya Israel inaanzishwa kwa vurugu kubwa sana nahisi Korea kusini na Israel ni nchi zilzoanishwa kwa vita na uchungu mkubwa sana. Turudi kwenye mada miaka ya 1880's waisrael walianza kuchukiwa sana ulaya miaka hiyo zikaanza movement za kutafuta eneo litakalokuwa taifa la Israel key point walichukiwa sana ambao ni ubaya. Zikafanyia jitihafada nyingi ila zilifeli- nchini austia anazaliwa kijana mtukutu anaitwa Hitler ambaye baba yake alikuwa anamchapa sana na kumpiga ila alikuwa hasikii ni yule mtoto unaweza mpiga mpaka kumchoma moto kesho anarudia kitu kile kile ulichomchapia jana na kumchoma moto. Hitler alikua anajua nja za kufika kwenye madaraka alipenya penya kuja kushtuka ni Rais wa ujeruma ilihali yeye ni mzaliwa wa Austria anakuja kuuwa waisrael million 6 lakin nyuma yake naamini hata Hitler alikuwa hajui alikuwa anaanda kuundwa kwa taifa la israel, vita vya pili vya dunia ambavyo ni ubaya vilizaa mambo mengi sana na mmoja wapo ni kuundwa kwa taifa la Israel

Yako mengi sana lakin hayo ni baadhi mambo ya msingi ya msingi ya kufahamu

Mambo muhimu ya kuzingatia
  • Mabadiliko yamefungwa kwenye ubaya
  • Sio kila ubaya unamabadiliko ndani yake
  • Huitaji kutumia nguvu kubwa kupush ubaya wa mabadiliko unakujaga mwenyewe na mnabaki mnashangaa tumefikaje hapa kwenye huu ubaya
Navyoona baadhi ya watu wanapigania no reform no election na recently ameibuka polepole sio kwamba nawapinga ila walichoanzisha na kukipigania ni kitu kigumu sana, ni maji marefu inaweza chukua hata miaka 10 au 15 ndo wafanikiwe je wako tayari??? Hizo reform hazitakuja kirahisi

Nikama mimi nilivyoanza harakati zangu za kuwa Rais wa Tanzania ni ngumu na chungu sana haitakuwa rahisi hata kidogo nimefahamu haya kabla hata ya kutokuanza hii movement mimi sahivi nina miaka 33 sitashangaa hata nikifanisha lengo la kuwa rais wa Tanzania nikiwa na miaka 50 au hata 60 sitashangaa

Mfano sisi wakristo tunajua Mungu alimtokea Musa nakumtuma nenda kawatoe wana-waisrael ila musa alifanya attempt tisa na alifeli zote ya kumi ndo akafanikiwa
Unasema nini ilibidi Mandela akae miaka 27 jela ndo makaburu waachie madaraka haikuwa kazi rahisi
Hili nalo ni andiko Bora ambalo nimepata kulisoma leo hii.
 
Kabla sijaja public na kudeclare nia yangu ya kutaka kuwa Rais wa Tanzania ilinibidi kwa jasho na damu nijufunze uongozi ni nini??? unfortunately elimu haifundishi masomo ya uongozi kwa ilinibidi binafsi nijufunze kwa nguvu zote

Na moja ya mambo niliyojifunza ni hili "mabadiliko yamefungwa kwemye ubaya"
Kwanini iko hivi
  1. Walioko kwenye mfumo wananufaika nao hawawezi kukuachia kirahis
  2. Hata wakikuachia watahakikisha unawalinda haya tunayaita mabadiliko danganya toto
  3. Ndo maana mabadiliko ya kweli yamefungwa kwenye ubaya

Ngoja nikupe mifano ifuatayo utanielewa vizuri navyosema mabadiliko yamefungwa kwenye ubaya
  1. Kuanzia miaka ya 1980 Tanzania ilipitia wakati mgumu sana wa kiuchumi watu wengi sana wanalaumu vita ya kagera ila wajuzi wa mambo tunafahamu kabisa nature ilimkataa Nyerere kwa kutengeneza mazingira ya vita na kuiacha nchi kwenye hali mbaya ya kiuchumi ili Nyerere aondoke, na ubaya wa hali ngumu sana ya uchumi miaka 1980's ulikuwa na lengo la kumtoa Nyerere madarakani baadae alikubali akaondoka madarakani peaceful ukiangalia hii scenario utaona ulianza ubaya ambao ni hali ngumu ya kiuchumi ndo yakaja mabadiliko
  2. Tokea wakati wa Nyerere kulikuwa na mpango wa kuamia dodoma ila kuanzia Nyerere mpaka kikwete marais wote walikuwa wanapiga danadana, niweke mimi magufuli nilikuwa simkubali kwenye mambo mengi ila ile bold move ya kuamisha serikali dodoma bila compromise ule ulikuwa uamuzi wa kiume watu waliupinga lakin leo hii wote tunafurahia serikali imehamia dodoma lakin ulianza kwanza ubaya ndo yakaja mabadilik
  3. Njoo kwenye tukio la bashar Al assad kuondoka madarakani mwaka huu, kumbuka watu walipigana na serikali ya bashar Al assad tokea 2011 ila vita vya Ukraine na tukio la October 7 2023 shambulio la hamas kwa Israel ilikuwa ndo njia ya kumuondoa bashar all assad, kwanza urusi aliwekeza focus yake Ukraine na akapunguza kumlinda al assad kumbuka tokea 2011 assad ana-survive kwa msaad wa Russia na Iran, nature ikaona haitoshi hamas wakashambulia Israel October 7, baadae Hizbollah aliyekuwa anamlinda assad akawa bize na baadae iran akajoin matokeo Al assad anamlinzi tena, wale waasi wakatonywa Al assad anaulinzi ikawa raihis kumuondoa ila ukiangali scenario kuna ubaya wa vita ya Ukraine na shambulio la October 7 2023 moja ya mlengwa alikuwa ni al assad aondoke madarakani
  4. Baada ya kufa Karl max miaka ya 1890's kulianza vuguvugu au movement za underground za kuwezesha communism aliyoipropose Karl max kwa sababu hali ya maisha ilikuwa ngumu sana ulaya. Nchini urusi kuna mtu anaitwa Vladimir Lenin anaanza underground movement baadae anapata wasaidizi wakina stalin lengo ni kuki-implement kile alichokisema Karl marx, stalin alikuwa ni jasiri na hakuna jambo lilikuwa linamshinda tabia hii yake ilikuja kuonekana zaidi alipokuwa Rais- wote, stalin alikuwa anafungwa na kuachiwa sababu alikuwa mtata baadae nature ikafanya yake vita vya kwanza vya dunia vikazuka lengo ni kuundoa utawala la urusi na kuinstall wakina Vladimir Lenin lakin ilibidi utawala uliopo upigane vita ambayo ni ubaya ili uweze kuwa dhaifu na kweli mwak 1917 yakafanyika mapunduzi ila baadae October 1917 Vladimir Lenin na stalini na wenzake wachakuchua nchi ila wamewezaje baada ya ubaya wa vita vya kwanza vya dunia kutokea ndo mabadiliko yakatokea urusi
  5. Njoo kwenye taifa la Israel- inchi ya Israel inaanzishwa kwa vurugu kubwa sana nahisi Korea kusini na Israel ni nchi zilzoanishwa kwa vita na uchungu mkubwa sana. Turudi kwenye mada miaka ya 1880's waisrael walianza kuchukiwa sana ulaya miaka hiyo zikaanza movement za kutafuta eneo litakalokuwa taifa la Israel key point walichukiwa sana ambao ni ubaya. Zikafanyia jitihafada nyingi ila zilifeli- nchini austia anazaliwa kijana mtukutu anaitwa Hitler ambaye baba yake alikuwa anamchapa sana na kumpiga ila alikuwa hasikii ni yule mtoto unaweza mpiga mpaka kumchoma moto kesho anarudia kitu kile kile ulichomchapia jana na kumchoma moto. Hitler alikua anajua nja za kufika kwenye madaraka alipenya penya kuja kushtuka ni Rais wa ujeruma ilihali yeye ni mzaliwa wa Austria anakuja kuuwa waisrael million 6 lakin nyuma yake naamini hata Hitler alikuwa hajui alikuwa anaanda kuundwa kwa taifa la israel, vita vya pili vya dunia ambavyo ni ubaya vilizaa mambo mengi sana na mmoja wapo ni kuundwa kwa taifa la Israel

Yako mengi sana lakin hayo ni baadhi mambo ya msingi ya msingi ya kufahamu

Mambo muhimu ya kuzingatia
  • Mabadiliko yamefungwa kwenye ubaya
  • Sio kila ubaya unamabadiliko ndani yake
  • Huitaji kutumia nguvu kubwa kupush ubaya wa mabadiliko unakujaga mwenyewe na mnabaki mnashangaa tumefikaje hapa kwenye huu ubaya
Navyoona baadhi ya watu wanapigania no reform no election na recently ameibuka polepole sio kwamba nawapinga ila walichoanzisha na kukipigania ni kitu kigumu sana, ni maji marefu inaweza chukua hata miaka 10 au 15 ndo wafanikiwe je wako tayari??? Hizo reform hazitakuja kirahisi

Kama reform zikija kwa njia hizi wanazotumia sasa kabla ya uchaguzi basi ntakuwa nimejifunza jambo jipya ambalo nilikuwa silijui huko nyuma

Nikama mimi nilivyoanza harakati zangu za kuwa Rais wa Tanzania ni ngumu na chungu sana haitakuwa rahisi hata kidogo nimefahamu haya kabla hata ya kutokuanza hii movement mimi sahivi nina miaka 33 sitashangaa hata nikifanisha lengo la kuwa rais wa Tanzania nikiwa na miaka 50 au hata 60 sitashangaa

Mfano sisi wakristo tunajua Mungu alimtokea Musa nakumtuma nenda kawatoe wana-waisrael ila musa alifanya attempt tisa na alifeli zote ya kumi ndo akafanikiwa
Unasema nini ilibidi Mandela akae miaka 27 jela ndo makaburu waachie madaraka haikuwa kazi rahisi

Point tele zenye uhalisia lakini uandishi sifuri why!

... 'Wale waasi wakatonywa el assad anaulinzi tena'...

Sentensi kama hizi zimejirudia si kwa bahati mbaya, bali kwa 'ukihiyo' wako!

Mkuu embu badilika bhana, wee ni Rais mtarajiwa ajaye ujue!
 
Point tele zenye uhalisia lakini uandishi sifuri why!

... 'Wale waasi wakatonywa el assad anaulinzi tena'...

Sentensi kama hizi zimejirudia si kwa bahati mbaya, bali kwa 'ukihiyo' wako!

Mkuu embu badilika bhana, wee ni Rais mtarajiwa ajaye!
Niliiandaa nikaipost nikajua ntaifanyia editing nikapitiwa na kazi
Ila nimeshaifanyia editing
 
Back
Top Bottom