Tetesi: Mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya yaiva, JPM atema kibao

Kama hufahamiki, inabidi uwe na elimu nzuri, master's au Phd, anaweza kukufikiria. Kama unafahamika haijalishi elimu, ni maneno yako tu unaulamba u DC mapema. Sijui wengine atatujua lini, tupo huku mikoani na elimu zetu, ni wachapa kazi lakini hatuna pa kutokea
 
hivi my no 1 huwa ana apply his MIND kabla ya kufanya hizi teuzi?maana kumteua mtu leo baada ya miezi sita unamfukuza au kumpangia kazi nyingine inaonyesha mapungufu hata kwako anayeteua
 
Katika system muhimu kabisa kwa Rais ,inayoweza kumfanya rais na chama chake kubaki nadalakani ni wakuu wa mikoa na wilaya,kama kuna wasaliti kwenye viongozi hawa ,kunahatari ya kwa wanompinga kumuondoa madalakani hata ndani ya chama.

HAYO NI MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA MWAKA 2020 KWENYE MCHAKATO WA NDANI YA CHAMA HADI KWENYE KUPEPELUSHA BENDERA.

HAPO ANABADILISHA TARATIBU KWA KUWEKA SYSTEM YAKE.
 
Ukitaka kuteuliwa tafuta chance umvizie Seif Sharif umpige kibao mbele ya DC kama Mnyeti. Kesho yake unateuliwa DC au RC
 
Wenye performance kama Makonda mtaendelea lakini wale wa kunywa chai ofisini ajira imeshikiliwa na Uzi wa sindano!!!!!!
 
Salaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.

Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.

Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
safi kabisa. akitumbuliwa DC mmoja, vinazaliwa viwonderi vipya 10 vipya!
 
Back
Top Bottom