FactKatika awamu hii jambo lililofanikiwa 100% ni hili la kuteua na kutengua.... Kazi ipo.
Muro hata ujumbe wa kitongoji hapewi.Kama ni kweli, wakina J Muro, wanaweza kupewa nafasi
safi kabisa. akitumbuliwa DC mmoja, vinazaliwa viwonderi vipya 10 vipya!Salaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.
Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.
Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
Hebu taja majina yako matatu nikuangalie kama umoSijui mzee atanikumbuka safari hii
Alhaj Wajad ibnu MabroukHebu taja majina yako matatu nikuangalie kama umo
Hahahaa, na anavyopambana hivyo!!!Muro hata ujumbe wa kitongoji hapewi.