Tetesi: Mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya yaiva, JPM atema kibao

Hana jipya zaidi ya kutoa povu zito na kuteua na kutengua labda safari hii yule mburula muro atapata uteuzi na Mayalla pia.
And I guess muda wote wa awamu yake kazi kubwa atakayofanya ni kuteua na kufukuza tu..kuna wakati huwa natamani JK arudi walao mwaka mmoja!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
ahaaaa Murooooooo,bashite keshapendekeza ,chezea keki ya taifa weeeeee,ukiropoka,tukana wapinzani,wafanyie ubabe,eneza chuki,unakuwa rewarded na cheo,very niiiiiceeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Salaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.

Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.

Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
Source ya taarifa hizi?!Kama ni wewe mbona unataka kuifanya hiyo taasisi kama clouds media?
 
Hamna cha maana katika awamu hii zaidi ya kutengua, kuteua, kutumbua na watumishi kukaririshwa takwimu.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom