Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,281
And I guess muda wote wa awamu yake kazi kubwa atakayofanya ni kuteua na kufukuza tu..kuna wakati huwa natamani JK arudi walao mwaka mmoja!Hana jipya zaidi ya kutoa povu zito na kuteua na kutengua labda safari hii yule mburula muro atapata uteuzi na Mayalla pia.