Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
kichwa cha mwenda wazimu
Kama ni kweli badilisha badilisha nayo sio nzuri dk hizi, mwaka wa pili ilitakiwa ajue first eleven yake kamili na subs nzuri!Salaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.
Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.
Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
Kwa kuwa Mnyeti na Malima wamepandishwa vyeo, nashindwa kuwa na imani na hayo mabadiliko.Salaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.
Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.
Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
Muro for DC!!??Muro na ngoma wasipopata...!mkuu atakuwa hajawaelewa
Mbaazi bei gani mkuu!Mvua inanyesha sehemu nyingi ya Nchi wakuu ni bora tukalime tupate pesa kuliko kushinda kuzua hoja za kutikisa familia za watu mitandaoni.
Imekuwa Kichwa cha mwenda kuzimu.kichwa cha mwenda wazimu
hahahaaaa sasa hapo umepongeza nini? yani CCM ni kupongeza tuSafiiiiiiiii... Mh. Rais wangu JPM we trust you
Huku ni kutiana hasara sasa, ifike sehemu haya mambo yapungueyaweza kuongezeka kwani si kuna kulipwa mafao na kadhalika
Madiliko sio hoja,wananchi tunataka tija.MaDC waliopo wengi ni mizigo.Hatutaki vijana wanaotafuta experience,we want people with experience.Hatutaki waje wajifunzie kazi kwenye maisha yetu!Our life is too important to be played with.Salaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.
Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.
Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
Kipengere hiki nacho kinanifanya nimkubali Magu, kwamba ikiwezekana kila mmoja aonje madaraka sio wale wale siku zote kama wengine hatuwezi vile ebo, alete sura mpya tu ili dhana ya cheo ni dhamana ieleweke ndani ya jamii.Salaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.
Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.
Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838