Tetesi: Mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya yaiva, JPM atema kibao

Salaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.

Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.

Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
Kama ni kweli badilisha badilisha nayo sio nzuri dk hizi, mwaka wa pili ilitakiwa ajue first eleven yake kamili na subs nzuri!
Naona kama bado yuko ktk TRIAL N ERROR!
 
Salaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.

Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.

Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
Kwa kuwa Mnyeti na Malima wamepandishwa vyeo, nashindwa kuwa na imani na hayo mabadiliko.

Vv
 
Huwezi kasi kaa pembeni, hutaki kupiga kazi nenda kwingine utakapotanuwa na magari, mikutano isiyoisha, chai masaa 5 na lunch masaa 4! [HASHTAG]#hapakazitu[/HASHTAG]...
 
Salaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.

Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.

Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
Madiliko sio hoja,wananchi tunataka tija.MaDC waliopo wengi ni mizigo.Hatutaki vijana wanaotafuta experience,we want people with experience.Hatutaki waje wajifunzie kazi kwenye maisha yetu!Our life is too important to be played with.
 
Salaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.

Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.

Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
Kipengere hiki nacho kinanifanya nimkubali Magu, kwamba ikiwezekana kila mmoja aonje madaraka sio wale wale siku zote kama wengine hatuwezi vile ebo, alete sura mpya tu ili dhana ya cheo ni dhamana ieleweke ndani ya jamii.
 
Back
Top Bottom