DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,437
Habari wana jamvi
Tanzania ndio nchi ambayo tunanunua bando kwa bei rahisi sana ukilinganisha na mataifa mengine, kumekua na tendency kubadili huduma za vifurushi hasa internet kwa makampuni hilo halina tatizo kwani lengo lao ni kuongeza income.
Mfano kupunguza idadi ya megabyte kwa asilimia kadhaa huku bei ikibaki ile ile.
Lakini unakuta zikitokea changes mtandao mmoja basi mabadiliko hua kote, mfano halotel walikua wanatoa GB 3 kwa shilingi elf 3 lakini sasa wanatoa GB 2 kwa elf tatu pia gb moja kwa shilingi elf moja sahizi ni MB's 600.
Vodacom walikua wakitoa GB 1 kwa shilingi elf moja lakini sasa wanatoa gb 1 kwa shilingi elf mbili! TTCL nao wamebadili bei sambamba na Tigo
Swali ni je, wanatumua busness plan moja? Kwanini isitokee kampuni ya kuleta ushindani wa kibiashara kwa kutobadili bei zake ili kampuni zingine zishtuke.
Kwa staili hii ushindani utatoka wapi?
View attachment 1979593
Tanzania ndio nchi ambayo tunanunua bando kwa bei rahisi sana ukilinganisha na mataifa mengine, kumekua na tendency kubadili huduma za vifurushi hasa internet kwa makampuni hilo halina tatizo kwani lengo lao ni kuongeza income.
Mfano kupunguza idadi ya megabyte kwa asilimia kadhaa huku bei ikibaki ile ile.
Lakini unakuta zikitokea changes mtandao mmoja basi mabadiliko hua kote, mfano halotel walikua wanatoa GB 3 kwa shilingi elf 3 lakini sasa wanatoa GB 2 kwa elf tatu pia gb moja kwa shilingi elf moja sahizi ni MB's 600.
Vodacom walikua wakitoa GB 1 kwa shilingi elf moja lakini sasa wanatoa gb 1 kwa shilingi elf mbili! TTCL nao wamebadili bei sambamba na Tigo
Swali ni je, wanatumua busness plan moja? Kwanini isitokee kampuni ya kuleta ushindani wa kibiashara kwa kutobadili bei zake ili kampuni zingine zishtuke.
Kwa staili hii ushindani utatoka wapi?