Paje
JF-Expert Member
- Apr 24, 2010
- 1,185
- 455
wakuu naona speed ya internet ya airtel imekuwa tishio hapa mjini. inafika hadi 5Mbps. inadownload mb 200 ndani ya dakika 9. kuna mwengine amepata kitu kama hicho au miye tu nina bahati?
angallia attachements hii hapa chini
na nikitumia dashboard ya mobile partner inaonesha ni 3.9G instead ya HSPA. hii wanamaana inakaribia 4G. kwa wale wanaotumia modem za tigo wanavuka 3.1Mbps? mie natumia modem ya safaricom . speed yake hadi 7.2Mbps lakini mwisho wangu kuona ni 5Mbps.
angallia attachements hii hapa chini
na nikitumia dashboard ya mobile partner inaonesha ni 3.9G instead ya HSPA. hii wanamaana inakaribia 4G. kwa wale wanaotumia modem za tigo wanavuka 3.1Mbps? mie natumia modem ya safaricom . speed yake hadi 7.2Mbps lakini mwisho wangu kuona ni 5Mbps.