pharao
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 380
- 639
Nimekuwa mteja kwa miaka kadhaa katika huu mtandao wa internet wa Smile, ila hadi kufikia sasa naona hali imewawia ngumu ila wanashindwa tu kusema.
Mwanzoni walipokuwa wanaingia kwenye miaka ya 2013 walikuwa na speed nzuri atleast tungeweza kusema kweli wana mtandao wa 4G kipindi kile maana kasi ilikuwa inafika walau 10MBper sec, ila miaka inavyozidi kwenda wanazidi kupunguza speed na mtandao ni wa kusuasua.
Hadi hapa ninapoongea kasi yao ya mtandao wa 4G ni Kb 250 per Sec.
Sijui tukimbilie wapi tupate speed nzuri ya internet aisee.
Mwanzoni walipokuwa wanaingia kwenye miaka ya 2013 walikuwa na speed nzuri atleast tungeweza kusema kweli wana mtandao wa 4G kipindi kile maana kasi ilikuwa inafika walau 10MBper sec, ila miaka inavyozidi kwenda wanazidi kupunguza speed na mtandao ni wa kusuasua.
Hadi hapa ninapoongea kasi yao ya mtandao wa 4G ni Kb 250 per Sec.
Sijui tukimbilie wapi tupate speed nzuri ya internet aisee.