Precedence ya kusema uongo imeanzia CCM kwa mfano:
i.Fedha za ESCROW siyo za serikali.
ii.Uchumi wa Tanzania unapaa-uchumi wa kati chini.
iii.Nchi ya viwonder
iv.Tanzania ni tajiri.
v.Tutalipwa US$ 190 Bilion.
vi.etc
Vyote vikawa hewa.CCM Ph.D za uongo zimeenea.
Tahadhari-Watanzania sio wajinga!Wanafahamu tofauti kati ya ukweli na urongo wa kimfumo uliokithiri.Tumefikia hatua ya wananchi kuzuiwa na kuhofia kusema ukweli wa jambo lolote?