Mabadiliko ya Sheria Subsection 47A kwenye Criminal Procedure Act (CPA) yanaenda kumuokoa Luteni Urio na Polisi wote wahusika kwenye kesi ya Mbowe

sina rais mpaka Leo hii simtambuišŸ˜„
hamna la maana Wala halina ladha
I'm swear
 
Hivi hatuna bunge ni patikokasi + covid 19 huku tukiwalipa mahela mengi kwa kodi zetu toka jasho letu na damu zetu!!

#hatuna viongozi tuna mavi-ongozi.
...Yanaombwa yajipimie lkn yanakula kuvimbiwa
 
Ndugai alipoanza kuongelea haya mabadiliko ta sheria kwa hati ya dharula uspika wake ukafika kikomo. Nadhani huyu tununu nae atakuwa makini ili asije kosa ugali wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreā€¦