sina rais mpaka Leo hii simtambui😄Precedence ya kusema uongo imeanzia CCM kwa mfano:
i.Fedha za ESCROW siyo za serikali.
ii.Uchumi wa Tanzania unapaa-uchumi wa kati chini.
iii.Nchi ya viwonder
iv.Tanzania ni tajiri.
v.Tutalipwa US$ 190 Bilion.
vi.etc
Vyote vikawa hewa.CCM Ph.D za uongo zimeenea.
Tahadhari-Watanzania sio wajinga!Wanafahamu tofauti kati ya ukweli na urongo wa kimfumo uliokithiri.Tumefikia hatua ya wananchi kuzuiwa na kuhofia kusema ukweli wa jambo lolote?
hamna la maana Wala halina ladha
I'm swear