Mabadiliko ya Sheria Subsection 47A kwenye Criminal Procedure Act (CPA) yanaenda kumuokoa Luteni Urio na Polisi wote wahusika kwenye kesi ya Mbowe

Precedence ya kusema uongo imeanzia CCM kwa mfano:
i.Fedha za ESCROW siyo za serikali.
ii.Uchumi wa Tanzania unapaa-uchumi wa kati chini.
iii.Nchi ya viwonder
iv.Tanzania ni tajiri.
v.Tutalipwa US$ 190 Bilion.
vi.etc
Vyote vikawa hewa.CCM Ph.D za uongo zimeenea.
Tahadhari-Watanzania sio wajinga!Wanafahamu tofauti kati ya ukweli na urongo wa kimfumo uliokithiri.Tumefikia hatua ya wananchi kuzuiwa na kuhofia kusema ukweli wa jambo lolote?
sina rais mpaka Leo hii simtambui😄
hamna la maana Wala halina ladha
I'm swear
 
Hivi hatuna bunge ni patikokasi + covid 19 huku tukiwalipa mahela mengi kwa kodi zetu toka jasho letu na damu zetu!!

#hatuna viongozi tuna mavi-ongozi.
...Yanaombwa yajipimie lkn yanakula kuvimbiwa
 
Ndugai alipoanza kuongelea haya mabadiliko ta sheria kwa hati ya dharula uspika wake ukafika kikomo. Nadhani huyu tununu nae atakuwa makini ili asije kosa ugali wake
 
Back
Top Bottom