Maulamaa wenyewe wanamuita Mbuzi pori si Kitimoto!!Kwenye kiti moto hapata tetereka coz ni mnyama anayependwa na dini zote tukiacha unafiki
Maulamaa wenyewe wanamuita Mbuzi pori si Kitimoto!!Kwenye kiti moto hapata tetereka coz ni mnyama anayependwa na dini zote tukiacha unafiki
Mkuu nimepiga bei ambayo ni elekezi kwa TBL.. Hata ukipiga kwa 1600/- au hata hiyo 1,800/- unayosema bado ni rahisi kulinganisha na kubwa..Unaona sasa, hapo juu umepiga hesabu kwa 1500 wakati unauza 1600. Kubwa nayo unauza 2500, kuna wanaouza chini ya hio. Wewe ni wholeseller au retailer?
Bei elekezi ya kubwa ni tzs ngapi?Mkuu nimepiga bei ambayo ni elekezi kwa TBL.. Hata ukipiga kwa 1600/- au hata hiyo 1,800/- unayosema bado ni rahisi kulinganisha na kubwa..
Ukitoa Lite ambayo tunapaswa tuuze 2300/- zingine zote ni 2500/-Bei elekezi ya kubwa ni tzs ngapi?
Basi kijiweni kwangu ndogo wanauza 2000, kubwa zote local 2500. Ndio nikawa nawashangaa wanywaji kwanini wanakunywa ndogo.Ukitoa Lite ambayo tunapaswa tuuze 2300/- zingine zote ni 2500/-
Kwa ujazo ndogo ni cheaper na wanadai zinapanda haraka kichwani kuliko kubwa.. Ndio maana wanaziita mwendokasiBasi kijiweni kwangu ndogo wanauza 2000, kubwa zote local 2500. Ndio nikawa nawashangaa wanywaji kwanini wanakunywa ndogo.
Kupanda haraka kichwani imani tu. Au alcohol % zikko tofauti?Kwa ujazo ndogo ni cheaper na wanadai zinapanda haraka kichwani kuliko kubwa.. Ndio maana wanaziita mwendokasi
Mwezi wa tano tarehe 27 mauzo yanaenda kudororaAfadhali...sisi Maulamaa tunataka wote wenye biashara kharam wafunge biashara zao. Viwanda vya bia vikimalizika watakuja wauza kitimoto laana tululai....
Content ni zile zile tu.. Ni kama wanavyosema viroba ukivikata ukajaza kwenye kisichana ukavimaliza unalewa zaidi ya kisichana chenyewe.. All in all ni imani tuKupanda haraka kichwani imani tu. Au alcohol % zikko tofauti?
Astaghafillullah !!!!!!Kwenye kiti moto hapata tetereka coz ni mnyama anayependwa na dini zote tukiacha unafiki