ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
Inasemekana kuanzia mwezi wa tano yaani may wanataka wabaki na beers za chupa ndogo kutokana na hali ya uchumi,no more chupa kubwaz.
Adiiiioooos amigoooo.
Adiiiioooos amigoooo.
Ishi! Vi-takeaway mbona vinabeba ujazo wa bia kamili yaani 500ml?Na bado mpaka waanze kuweka kwenye vile vitake away
Mkuu siku hz ukifanya kautafiti kdg kwenye pub nyingi watu wanatumia sana chupa ndogo, naona hata castle lager wameanza kutengeneza ndogo!Hii ni habari ya kusikitisha aisee, vichupa vidogo tutalewa sangapi sasa? wanataka kutuharibia ndoa zetu hawa mabo ya kukesha baa ya nini jamani
Take away zipo lakiniNa bado mpaka waanze kuweka kwenye vile vitake away
Afadhali...sisi Maulamaa tunataka wote wenye biashara kharam wafunge biashara zao. Viwanda vya bia vikimalizika watakuja wauza kitimoto laana tululai....Inasemekana kuanzia mwezi wa tano yaani may wanataka wabaki na beers za chupa ndogo kutokana na hali ya uchumi,no more chupa kubwaz.
Adiiiioooos amigoooo.
unaujua ukubwa wa chupa za bia za sasa?Inasemekana kuanzia mwezi wa tano yaani may wanataka wabaki na beers za chupa ndogo kutokana na hali ya uchumi,no more chupa kubwaz.
Adiiiioooos amigoooo.
Hii ni habari ya kusikitisha aisee, vichupa vidogo tutalewa sangapi sasa? wanataka kutuharibia ndoa zetu hawa mabo ya kukesha baa ya nini jamani
Kuwa na heshima na adabu wewee hivi hujui nchi yenu bila ya sisi wanywaji na si walevi kama ulivyosema Nchi yako haiwezi kuwalipa mishahara.?! Kuweni na heshima na unyenyekevu kwa wanywaji bia bwanaa Eboo...!Daaa mlevi ni.mlevi tu badala ashukuru kapunguziwa gharama.za kilevi yeye analalamika kuwa Utakuwa kapunguziwa rate ya kulewa haraka...daaa nime amini bora umfadhiri mbuzi utakula mchuzi na sio mwanadamu.
Kwenye kiti moto hapata tetereka coz ni mnyama anayependwa na dini zote tukiacha unafikiAfadhali...sisi Maulamaa tunataka wote wenye biashara kharam wafunge biashara zao. Viwanda vya bia vikimalizika watakuja wauza kitimoto laana tululai....